Nigerian actormr ibu ndiyo yupi huyo mkuu?
Nimeumia sana oscar kuondoka ingawa kwa dau lile isingekuwa rahisi chelsea kulikataa, i wish him all the best.![]()
Chelsea Football Club and Shanghai SIPG have agreed
terms for the permanent transfer of Oscar.
Acha aende, walikuwepo kina arjen roben wakapigwa bei wakiwa wanaelekea peak ya ubora wao atakuja mwingineNimeumia sana oscar kuondoka ingawa kwa dau lile isingekuwa rahisi chelsea kulikataa, i wish him all the best.
Anaanza kula pensheni akiwa na umri mdogo tu wa miaka 25.
KTBFFH
Brazil wana ficha umri kama Afrika tuNimeumia sana oscar kuondoka ingawa kwa dau lile isingekuwa rahisi chelsea kulikataa, i wish him all the best.
Anaanza kula pensheni akiwa na umri mdogo tu wa miaka 25.
KTBFFH
Umetumwaaa??Brazil wana ficha umri kama Afrika tu
Oscar ni zaidi ya 30 yule
Diego Costa ana 40+
Hamtaki kusikia mawazo sigana kama tu Bwana yuleee?Umetumwaaa??
Mbona kama post yako ya kwanza imekaa kinafikiHamtaki kusikia mawazo sigana kama tu Bwana yuleee?
Nimeumia sana oscar kuondoka ingawa kwa dau lile isingekuwa rahisi chelsea kulikataa, i wish him all the best.
Anaanza kula pensheni akiwa na umri mdogo tu wa miaka 25.
KTBFFH
niwatakieni heri ya christmass na mwaka mpya fans wote wa chelsea pamoja na familia zenu katika jukwaa hili, ni jambo la kushangaa kwani msimu uliopita wa sikukuu tulikuwa tunaelekea kushuka daraja lakini kwa mapenzi ya mola msimu huu wa sikukuu tuko nafasi ya kwanza. Hivyo shukrani ziende kwa Maanani kwani aliona machungu tuliyokuwa nayo msimu uliopita na hasa msimu wa sikukuu hivyo msimu huu ameona nasi tufurahi kwa timu yetu kufanya vizuri tena kwa kushinda mechi 11 mfululizo ni jambo la kustaajabisha
Soccer Family!!
We watch,we enjoy!
Marry Xmass and Happy new year
wewe na Familia yako
Na wewe pia mkuu, tunakula xmass meno yote nje, na tarehe 26/12 tunapata zawadi ya goli nyingi mno







Sahihi kabisa mkuuKusema ukweli Oscar alishakosa Nafasi pale ndani ya first 11, kocha alijitahidi sana kumpa nafasi lakini ameshindwa kuonyesha uwezo wake ni tofauti sana na Fabregas ambaye sasa anamchanganya kocha, kwani mwanzo kocha alisema Fabre haendani na mfumo wake, lakini alivyompa nafasi ameonyesha maajabu makubwa sana
Sijaumia kwa Oscar kuondoka