Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

ila kwa sasa mkuu ngoja imani tumpe bashuai hakuna jinsi ili mchukue ubingwa ni lazima uvuke mabonde na milima kumbuka msimu huu huu tuliwahi shika nafasi ya 8 hapo anayeongoza akitushinda point 8 hivyo uvumilivu unahitajika sana
Wakuu Mimi sina hofu yoyote kwasababu mchezaji yoyote ambae yuko hapo Kwa chelsea ni silaha ya maangamizi so tulieni muone hao Bournemouth wanavyopigwa on boxing day.....
 
Kiukweli kuna baadhi ya wachezaji wakiumia au kuwa na kadi itatugarimu
Wachezaji hao ni aspilicueta huyu sijui mbadala atakuwa nani maana hatuna mtu mwenye uzoefu pale kama ilivyo aspilicueta
Mwingine ni alonso huyu jamaa ana uwezo mkubwa mno wa kupanda na kushuka sijui akiumia au akapata kadi ni yupi mzoefu atakaechukua nafasi yake ndio maana nilisema team inahitaji beki mmoja mshambuliaji wa kiwango cha juu na kiungo wa kati mmoja ili team isiyumbe hii ni kazi ya conte january

Usiwe na hofu na Chelsea kaka, hiyo ni timu iliyokamilika sana tu

Azip akiwa majeruhi pengo linaweza zibwa na Zouma au hata Inanovich, Alonzo akiwa majeruhi pengo lake litazibwa na Azip ambaye ndiye alikuwa namba tatu ya kudumu Chelsea akichukua nafasi ya Cole

Konte hayupo, lakini hapo kati wanaweza cheza, Matic. Fabregas na hata Mikel Obi, Batshuayi ni mzuri sana, na sasa ndio atapata nafasi ya kuonyesha uzuri wake

Chelsea sio tmu ya kuwa na wasiwasi nayo kwa sasa, timu imekamilika sana tu
 
huyu mdau hapo mwanzo nami alanichanganya nadhani umechanganya nonda na nando ni member wawili tofauti
Nonda hawezi kuwa na mahaba na mafiaso. Mafiaso wa kirusi ,amekutana na mafiaso wa kitaliano.
Nando alikuja kubabaisha wadau ,alianza na michango kwenye jukwaa la siasa na alipoona nilikuwa namsalimu sana bandugu Ntuzu (muuza sandarusi) ndio alijileta huku kama Mdau wa daraja bovu.
 
Aiseeeee kweli nimemix madesaaa!!!.... yule ni Nonda!!!
Nonda anaogopa ushabiki wa Yokohama kama ukoma.
Ni wewe uliniomba nimpunguzie dose ya "mkaanga sumu" na nimpe mapumziko. Siku hizi nimempa muda afurahi, ajipe matumaini ya ubingwa lakini Yokohama atachezea vipigo mfululizo baada ya X-mas.
Hapo Ntuzu atanitafuta nimpatie uchambuzi wa kitaalamu wa tik tak, one touch, goal.
 
Nonda hawezi kuwa na mahaba na mafiaso. Mafiaso wa kirusi ,amekutana na mafiaso wa kitaliano.
Nando alikuja kubabaisha wadau ,alianza na michango kwenye jukwaa la siasa na alipoona nilikuwa namsalimu sana bandugu Ntuzu (muuza sandarusi) ndio alijileta huku kama Mdau wa daraja bovu.
haha,vipi lakini ligi unaionaje top four unaipangaje?
 
nitakataa mpakanife
sina tatizo na kukataa kwako na sio kosa lako,yule james hajapewa nafasi pale madrid ndiyo maana hujapata nafasi ya kumuona. Chelsea tunakosa mtu kama yule ktk kufunga magoli nje ya 18 na goli alilofunga pedro juzi hapa likashinda goli la mwezi kwa jems yale magoli ni ya kawaida. Maombi yangu kila siku dili lake litimie
 
sina tatizo na kukataa kwako na sio kosa lako,yule james hajapewa nafasi pale madrid ndiyo maana hujapata nafasi ya kumuona. Chelsea tunakosa mtu kama yule ktk kufunga magoli nje ya 18 na goli alilofunga pedro juzi hapa likashinda goli la mwezi kwa jems yale magoli ni ya kawaida. Maombi yangu kila siku dili lake litimie
Mkuu linakarbia kutimia, saizi yupo nchini kwao-colombia kuhangaikia UK VISA, soon utamuona stamford bridge. Na atauza sana jazz+ubunifu aliokuwa nao. Tutatisha zaidi next year.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom