Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Ukifatilia maelezo ya guardiola ktk baadhi ya vyombo vya hbr unaona kabisa kua amekua Na mchecheto mkubwa sn na hii game tena anawahofia Chelsea kuliko mfano kutokana na jinsi Chelsea walivyoimarika ktk michezo yao ya hivi karibuni.
Anacheza na akili za wachezaji wa chelsea tuwe makini
 
Arsenal vs Southampton

au

Manchester united vs Westham


Now that tulitolewa kwa hii michuano nashindwa kuamua niangalie mechi ipi kati ya hizi...
 
Arsenal vs Southampton

au

Manchester united vs Westham


Now that tulitolewa kwa hii michuano nashindwa kuamua niangalie mechi ipi kati ya hizi...
Uliingalia ya Arsenal maana Kwetu umeshindwa kunipa Hata hug ya kinaaa[emoji2]
 
Uliingalia ya Arsenal maana Kwetu umeshindwa kunipa Hata hug ya kinaaa[emoji2]

Niliishia kuangalia yenu bila kupenda lakini maana ya Arsenal kwenye streaming ilikuwa inazingua sana ilhali ndiyo ambayo ingenifurahisha!

Westham waliniboa sana...wamecheza kitozi mno...very individualistic game...kila mtu anataka ku-shine!
 
Niliishia kuangalia yenu bila kupenda lakini maana ya Arsenal kwenye streaming ilikuwa inazingua sana ilhali ndiyo ambayo ingenifurahisha!

Westham waliniboa sana...wamecheza kitozi mno...very individualistic game...kila mtu anataka ku-shine!
[emoji2] [emoji2] [emoji2] walivyocheza ndo Furaha yetu.
 
BARCLAYS MANAGER OF THE MONTH - EPL

Manager_of_the_Month_November_2.jpg
 
November's Barclays Manager of the Month shortlist

Antonio Conte (Chelsea) P3 W3 GF8 GA1 GD+7
Conte's side continued where they left off in October by extending their winning streak to seven matches. Three straight victories lifted them from fourth place to top of the Premier League table over the course of the month, strengthening Conte's claims to win the manager award for a second month running.
Chelsea 5-0 Everton; Middlesbrough 0-1 Chelsea; Chelsea 2-1 Spurs

Pep Guardiola (Manchester City) P3 W2 D1 GF5 GA3 GD+2
City remained in the title hunt, responding to a stoppage-time equaliser against Middlesbrough, which cost them two points, with back-to-back away victories. Two goals by Yaya Toure and three from Sergio Aguero ensured Guardiola's side remained on track, only a point off the league summit.
Man City 1-1 Middlesbrough; Crystal Palace 1-2 Man City; Burnley 1-2 Man City

Jurgen Klopp (Liverpool) P3 W2 D1 GF8 GA1 GD+7
The winner of September's award is in the hunt for another after Liverpool claimed two victories in November, the 6-1 win over Watford being the standout display. The Reds have produced more goals than any team so far this season and are still in title contention, lying only a point off top spot.
Liverpool 6-1 Watford; Southampton 0-0 Liverpool; Liverpool 2-0 Sunderland

David Moyes (Sunderland) P3 W2 L1 GF5 GA3 GD+2
After a disappointing start to the campaign the Black Cats got up and running in November, with their first victory of the season, over AFC Bournemouth, swiftly followed by another. Though still bottom, Moyes's men are now only three points from safety, as opposed to eight at the start of the month.
AFC Bournemouth 1-2 Sunderland; Sunderland 3-0 Hull; Liverpool 2-0 Sunderland
 
The EA SPORTS Player of the Month award SHORTLIST

Sergio Aguero (Man City) P3 W2 D1 L0 Goals Scored: 3 Assists: 0
The striker struck three goals, including two at Burnley that turned the match round. He is the joint-leading scorer in the league.

Diego Costa (Chelsea) P3 W3 D0 L0 GS2 A2
Costa's two goals and two assists helped Chelsea continue their unbeaten run. After a goal against Everton, Costa broke a stubborn Middlesbrough defence with the only goal at the Riverside. His run and cross also created Chelsea's winner against Tottenham Hotspur.

Zlatan Ibrahimovic (Manchester United) P3 W1 D2 L0 GS3 A2
Ibrahimovic played twice but scored on three occasions, his two goals against Swansea City helping United return to winning ways. He also struck the equaliser at home to West Ham United in Matchweek 13.

Pedro (Chelsea) P3 W3 D0 L0 GS2 A2
Revitalised in Antonio Conte's new formation, Pedro was one of their key creators and scorers last month, scoring twice, including the crucial goal before half-time that started the fightback against Tottenham Hotspur.

Matt Phillips (West Bromwich Albion) P3 W2 D1 L0 GS2 A3
The West Brom midfielder had a stellar month, scoring twice and setting up three other goals. He scored and assisted in each of the wins against Leicester City and Burnley and provided the assist for the goal at Hull City.

Jordan Pickford (Sunderland) P3 W2 D0 L1 CS1 S16
The Sunderland goalkeeper's saves at AFC Bournemouth were a key factor in securing the club's first Premier League win of the season and he repeated the heroics the next matchweek in the home win against Hull.
 
Chelsea's Victor Moses has been named the PFA Fans' Premier League Player of the Month for November.

CygLKi5W8AAzlc6.jpg



Moses received 18,756 of the 40,000 votes to win PFA's monthly award, ahead of Gylfi Sigurdsson, Nordin Amrabat, Victor Anichebe, Sergio Aguero and Matt Phillips.
 
Ukweli ni kua match dhidi ya city itakua balaa kubwa chelsea tunapaswa kuwa makini sana tukishindwa bora sare lakini naamini wachezaji wa chelsea wataichukulia serious hiyo match na kuwa carefull kwa dk zote 90
Etihad sio pa mchezo mchezo hivi sasa
Itakua ni match ya kupaniana sana
Io ni uhakika mzee usogopee
 
mechi ya city si rahisi kama unavyofikiria


Hiviii unadhani Everton tulivyomfunga 5 ni kwa sababu ilikuwa mechi rahisi? au Man utd?

au tuseme Arsenal walivyotufunga 3 ni kwa sababu ilikuwa mechi rahisi?


NO..ni kwamba tuna imani na ubora wa timu na ufundi wa kocha...ndiyo maana tunaweza kusema hayo!

Mechi rahisi labda siku wakija kucheza na Simba...ak.a mikia FC (joke)
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom