Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Gemu is finito tumerudi kileleni kwa muda tukisubiria matokeo ya manure; kwa sasa naelekea Sansiro kati ya As Roma na Inter Milan
 
Arsenal 1-1 vs Birmingham, walidroo hapo mwaka juzi na ukawa ndio mwanzo wa kupoteza uelekeo, je history itajirudia?
Yeah nimeona hawa jamaa wamekatwa kidogo ngebe lol maana walikuwa wanaona kama ndo wameishakuwa mabigwa vile.Pamoja sana Chelsea fans!
 
Hongereni Wakuu akina Invisible, Masanilo, Peasants & Co. Your team is fully aware that this seasons's Champion could be determined by goals difference. Once again congratulations! for a big win.
 
Hongereni Wakuu akina Invisible, Masanilo, Peasants & Co. Your team is fully aware that this seasons's Champion could be determined by goals difference. Once again congratulations! for a big win.
Ahsante sana Bubu, na wewe hongera sana kwa kuongeza pointi moja, si haba!
 
Hongereni sana jirani zangu,ushindi mnono sana huu,matokeo haya ukichanganya na yale na ya Pompey yatawasaidia sana ikitokea timu mbili au tatu zina pointi sawa kileleni
 
Ahsante sana Bubu, na wewe hongera sana kwa kuongeza pointi moja, si haba!

Hahahahahah ahsante kwa dongo mkuu lakini usisahau haba na haba hujaza.....LOL!


11597031.gif
 
And this is what Chelsea can do!! Come on the Blues, brilliant performance from every 1 today!
 
CHELSEAsplash_1013832a.jpg

Bora msheherekee leo maana matanga yalizidi msisahau kumaliza vinywaji maana hii leo ndio mwisho wenu ndio highest level mliyofika msimu huu kwa kuwaburuza Villa kwa magoli saba ni historia kubwa sana almost 45 years hawajaweza kuadhibiwa namna hii. Jipongezeni kwa mara ya mwisho.



BTW pelekeni sms kwa Masanilo aka Kikojozi na Taliban supporter ... ... msiwasahau kwenye sherehe ya mwisho wa mwaka almanusura wawe Invisible.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom