Kaka mi nilikuwa ni miongoni mwa waliompokea Conte kwa shingo upande sababu ya mazoea ya Mou, na zile mechi za mwanzo timu ilikuwa mbovu sana
Lakini kwa sasa kwa mfumo huu ni balaa maana Chelsea wanaonekana wako 15 Kiwanjani, kipa mmoja, mabeki saba na Foward saba, maana wale watatu wa nyuma wakishambuliwa wale wane wa kati wanakuja kuwa mabeki na wale watatu wakishambulia wanne wa kati wanakuja kuongeza idadi, kwa hiyo nyuma hakufungiki na mbele tunatupia tu kwenye nyavu,
Timu sasa imesimama, ila kocha anapaswa kuwa na sub ya ukweli kwa Victor, Kante na matic maana wakiumia au wakiwa na kadi ni balaa