Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Hiyo ni habari njema sana. Huenda majeraha waliyopata hayakuwa makubwa.

Mwanadamu kweli ni kinyonga (kigeugeu). Nakumbuka wanaomsifia Conte sasa, wengi wao ni wale waliokuwa wakimponda hapo kabla.
 
Hiyo ni habari njema sana. Huenda majeraha waliyopata hayakuwa makubwa.

Mwanadamu kweli ni kinyonga (kigeugeu). Nakumbuka wanaomsifia Conte sasa, wengi wao ni wale waliokuwa wakimponda hapo kabla.
Sio vinyonga ila kila shabiki anaitaji matokeo positive kila matokeo yanapo tokea kila coach hata akiwa mzr vipi akizingua tu lazima tuponde tu
 
maombi yangu kwa mechi ya man u vs arsenal watoke droo ili kuongeza gap kubwa kati yao na sisi.
Huku na sie ktk mechi 8 zilizobaki tukipata point 20 out of 24 itakuwa njema kumaintain nafasi yetu, mechi zitakazo tupa shida hata tuwe wazuri vipi ni ya man city na toten hawa jamaa huwa wanatusumbua sana

sidhani kama kutakua na droo, naona man u akila goli nyingi sanaa.
 
Sio vinyonga ila kila shabiki anaitaji matokeo positive kila matokeo yanapo tokea kila coach hata akiwa mzr vipi akizingua tu lazima tuponde tu
Imagine wewe ni kocha. Umepata kazi ya ukocha sehemu nyingine (say nchi tofauti, ligi tofauti), timu mpya, wachezaji wapya ambao wamefundishwa mfumo tofauti, njia na falsafa tofauti ya kucheza mpira. Unadhani itakuchukua muda gani wachezaji waelewe ideas, methods, philosophies zako na hatimaye timu yako ifanye vizuri?
 
Imagine wewe ni kocha. Umepata kazi ya ukocha sehemu nyingine (say nchi tofauti, ligi tofauti), timu mpya, wachezaji wapya ambao wamefundishwa mfumo tofauti, njia na falsafa tofauti ya kucheza mpira. Unadhani itakuchukua muda gani wachezaji waelewe ideas, methods, philosophies zako na hatimaye timu yako ifanye vizuri?
Mkuu kwa namna nilivyoiona chelsea alivyoipokea conte ni kama aliendelea na mfumo uliozoeleka pale chese ila tu alibadilisha wachezaji mfano alianza kumtumia oscar zaidi lakini alivyoona hiyo mbinu imefeli akaamua kuja na filosofia yake ambayo nadhani mwanzoni alikuwa anaogopa kuitumia
 
naiona chelsea kwa mbaliiiii wakiwapakata hao warembo wa Karanka.....
 
hao warembo bana,, eti Boro v Chelsea.... watakaa chini tu pamoja hilo lijina lenu libaya
 
3A85EBE600000578-3953208-image-m-40_1479590718042.jpg


3A8FE29900000578-3953208-image-a-45_1479591365420.jpg


3A8FC86000000578-3953208-image-a-71_1479594666665.jpg


When I started in football I was a left back but around the age of eight, when I was at my club, Genk, there were some tournaments and they knew I was the best keeper of all, because we would rotate, they asked me to be in goal.

'And I said: "Yeah, yeah, it's good," because I knew I would play all the games. I was best goalie of the tournament.'
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom