Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Pedro na Fab wanacheza nafasi mbili tofauti, Fab anatakiwa akabe sana na kupeleka mipira mbele. Pedro yeye kwa mfumo huu ni kufunga tu kukaba ni kidogo sana. Sema Conte anamjaribisha mchezaji mara moja tu asipodeliver anaachana nae. Kumuweka Bench Batshuay inanikera sana

Sio kwamba anajaribu mara moja Mkuu, yule anakupanga ukizingua mpaka ufanye vizuri mazoezini ndo anakupanga maana anasema "uwe mdogo uwe mkubwa ukikidhi vigezo vyangu unaanza".

Kumuweka Batchuayi nje kweli inaweza ikaonekana mbaya, ila sasa shida mpinzani wake ni D. Costa ambaye ana tabia Conte anazozipenda mtu mwenye hasira ya ushindi, anaependa mpira. Pia kama umeona ikifika dk ya 80 lazima afanye sub kuingiza wachezaji wengine.
 
mbona hujataja beki...
kwa sasa mabeki tulionao wanatosha kumaliza hii season,...ukizingatia January market ipo very crazy .... pia tuna mabeki young & very promisin...zouma, Aina christensen....tukisajili tutaua potential zao...
 

Attachments

  • 1478161206795.jpg
    1478161206795.jpg
    48.4 KB · Views: 35
Pedro na Fab wanacheza nafasi mbili tofauti, Fab anatakiwa akabe sana na kupeleka mipira mbele. Pedro yeye kwa mfumo huu ni kufunga tu kukaba ni kidogo sana. Sema Conte anamjaribisha mchezaji mara moja tu asipodeliver anaachana nae. Kumuweka Bench Batshuay inanikera sana
Batshuay hata akipewa nafasi amepoteza kujiamini
Mfano ni match ya kombe la league na westham amekua hajiamini kabisa na hatulii akiwa karibu na lango
 
kwa sasa mabeki tulionao wanatosha kumaliza hii season,...ukizingatia January market ipo very crazy .... pia tuna mabeki young & very promisin...zouma, Aina christensen....tukisajili tutaua potential zao...
Mabeki wanatakiwa tena wawili wa maana beki namba 2 na beki namba 5 wenye uwezo mkubwa
Huwezi kuniambia umtegemee aina na zouma au ivanovic na tery
Bila kusahau kusajili mshambuliaji 1 wa kumsaidia costa maana batshuay hampi changamoto costa
 
Mabeki wanatakiwa tena wawili wa maana beki namba 2 na beki namba 5 wenye uwezo mkubwa
Huwezi kuniambia umtegemee aina na zouma au ivanovic na tery
Bila kusahau kusajili mshambuliaji 1 wa kumsaidia costa maana batshuay hampi changamoto costa
kwa msimu huu nahisi..hatutasajili beki mwingine..sabab wale tunaowahitaji clubs zao hazipo tayari kuwaachia...! nahisi tutakomaa na hawa tulionao
 
This is football huwezi kutegemea chipukizi wakufikishe mbali nunua wachezaji wenye vipaji wakupe kile unachoitaji
Barca wenyewe sasa hivi wananunua majembe kutoka nje ya acadimic yao
kuna madogo ambao wapo ready kupambana...kwa mfano...choloabah, loftus check.. mentally+ physically wapo vizuri...sasa ukisajili hovyo hovyo unaweza kuwa discourage... sijasema tusisajili...nah! tusajili very technical....ila kwa mimi mawazo yangu sidhani kama tunahitaji beki wala striker kwa hii season...hawa tulionao ukijumlisha na yule dogo toka league ya uholanzi wanatosha! tunahitaja Central midfielder badly...mbadala wa cante akiumia...only that...Mikel hafit kwenye system ya conte
 
Mabeki wanatakiwa tena wawili wa maana beki namba 2 na beki namba 5 wenye uwezo mkubwa
Huwezi kuniambia umtegemee aina na zouma au ivanovic na tery
Bila kusahau kusajili mshambuliaji 1 wa kumsaidia costa maana batshuay hampi changamoto costa
hiyo nahisi ni plan ya msimu ujao...
 
Pedro na Fab wanacheza nafasi mbili tofauti, Fab anatakiwa akabe sana na kupeleka mipira mbele. Pedro yeye kwa mfumo huu ni kufunga tu kukaba ni kidogo sana. Sema Conte anamjaribisha mchezaji mara moja tu asipodeliver anaachana nae. Kumuweka Bench Batshuay inanikera sana
nachojua hiyo nafas anayocheza pedro now hat fab anaweza kucheza tena vizur zaid kuliko pedro ...........
 
Pedro na Fab wanacheza nafasi mbili tofauti, Fab anatakiwa akabe sana na kupeleka mipira mbele. Pedro yeye kwa mfumo huu ni kufunga tu kukaba ni kidogo sana. Sema Conte anamjaribisha mchezaji mara moja tu asipodeliver anaachana nae. Kumuweka Bench Batshuay inanikera sana

Batshuayi abaki bench tu..hana changamoto yoyote in my view!

Fabregas bado ana-something to offer. Kama aliweza kumchezesha Oscar game tatu/nne kwa kumjaribisha basi sioni akishindwa kumpa Fab more game time nafasi ya Matic tuone akishindwa.


fuatilia vizuri games 3 fab alizoanza, hamna clean sheet..! hiyo fact tosha

Kwani Fab ni kipa? Mechi zote tatu ambazo hatuna clean sheet (alizocheza Fab)...Cahill alikuwa beki na mbili kati ya hizo magoli yalitokea kwake...Fab angefanyaje hapo!???


kwa sasa mabeki tulionao wanatosha kumaliza hii season,...ukizingatia January market ipo very crazy .... pia tuna mabeki young & very promisin...zouma, Aina christensen....tukisajili tutaua potential zao...

Sawa kwa January unaweza sema hatuwezi (sio hatuhitaji) kununua. Ila kwa tunakoelekea msimu ujao...huwezi mtoa say Azpilicueta ukamuingiza Aina na akacheza with the same intensity. Hapo beki pekee mwenye future ni Zouma ambaye naye kwa 3-4-3 namuona kama a bit too slow (au labda ni kwakuwa ndo anarejea from majeruhi).

Ni muhimu kusajili msimu ujao...beki mbili za ziada ndo tubaki na hao watoto (iva na Terry usiwahesabia kwenye orodha yetu).

kuna madogo ambao wapo ready kupambana...kwa mfano...choloabah, loftus check.. mentally+ physically wapo vizuri...sasa ukisajili hovyo hovyo unaweza kuwa discourage... sijasema tusisajili...nah! tusajili very technical....ila kwa mimi mawazo yangu sidhani kama tunahitaji beki wala striker kwa hii season...hawa tulionao ukijumlisha na yule dogo toka league ya uholanzi wanatosha! tunahitaja Central midfielder badly...mbadala wa cante akiumia...only that...Mikel hafit kwenye system ya conte

Kwenye list yako nadhani Chalobah pekee ndo yuko fit. RLC alipewa sifa kabla hajaonesha uwezo, naona kiwango chake sio. Labda aende mkopo next season apate more game time.

Madogo wenye future nzuri bahati mbaya wengi ni strikers - Solanke, Tammy Abraham na B. Traore - ila itafahamuka.

This season tuna striker mmoja tu - Diego Costa - huyo Batshuayi arudishwe alikotoka (return to sender).

Dogo wa Uholanzi? ni nani? Nathan Ake?
 
nachojua hiyo nafas anayocheza pedro now hat fab anaweza kucheza tena vizur zaid kuliko pedro ...........

Mkuu ile nafasi ipo pembeni mwa mshambuliaji, mchezaji lazima atokee pembeni kidogo, sio sana kwa sababu ya wale wing-backs (Moses na Alonso). Sasa Fabregas ile itamtesa sana na ukizingatia hana mbio za kufanya mashambulizi ya kushtukiza (counter attacks).

Fabregas ni mzuri sana akitokea nyuma ya mshambuliaji, eneo hilo mara nyingi huwa haliitaji mtu wakukimbia kimbia zaidi ya kupokea mpira kutoka kwa kiungo mwingine au mabeki na kupeleka kwa mbele...
 
Mkuu ile nafasi ipo pembeni mwa mshambuliaji, mchezaji lazima atokee pembeni kidogo, sio sana kwa sababu ya wale wing-backs (Moses na Alonso). Sasa Fabregas ile itamtesa sana na ukizingatia hana mbio za kufanya mashambulizi ya kushtukiza (counter attacks).

Fabregas ni mzuri sana akitokea nyuma ya mshambuliaji, eneo hilo mara nyingi huwa haliitaji mtu wakukimbia kimbia zaidi ya kupokea mpira kutoka kwa kiungo mwingine au mabeki na kupeleka kwa mbele...


Ila pia ni sahihi alichosema ENZO, nafasi anayocheza Pedro hata Fab anaweza kucheza. Ikubwa ni ku-balance weakness. Ana strength zaidi kwenye kutoa pasi za mwisho so unaweza sema Matic abaki nyuma na kante...Fab acheze kati na kulia...inawezekana pia!
 
Ila pia ni sahihi alichosema ENZO, nafasi anayocheza Pedro hata Fab anaweza kucheza. Ikubwa ni ku-balance weakness. Ana strength zaidi kwenye kutoa pasi za mwisho so unaweza sema Matic abaki nyuma na kante...Fab acheze kati na kulia...inawezekana pia!

Ukweli lengo ni kuweka usawa kwenye timu kwa kutumia wachezaji wote, ila Fab akitokea pale anapotokea Pedro atakuwa na nasehemu ndogo sana za kutoa pasi (mbele, kati au arudi nyuma) mwishoe hata pasi nzuri tusizione, tofauti na akiwa katikati, amabapo akinyanyua tu macho hivi anaona winger kulia na kushoto zimetanua au striker ameshapita anasubiri mpenyezo (pasi rula ha ha ha ha), kama ilivyokuwa msimu wa 2014/15.

Hivyo kama akitokea pale kwa Pedro, kutokana na uwezo alionao lazima atajilazimisha kuingia kati kidogo, hivyo ataacha pengo pembeni na kuumapa kazi kubwa sana wing-back wa upande huo.
 
Kwa mimi nionavyo ili Fabregas acheze na afanye vizuri lazima tubadili mfumo tucheze 4-3-3, au 4-2-3-1, au katika mfumo huu Matic aanzie benchi. Na hakika akianza katika yoyote ya mifumo hiyo atafanya kazi nzuri sana
 
Batshuayi abaki bench tu..hana changamoto yoyote in my view!

Fabregas bado ana-something to offer. Kama aliweza kumchezesha Oscar game tatu/nne kwa kumjaribisha basi sioni akishindwa kumpa Fab more game time[/clor] nafasi ya Matic tuone akishindwa.


ndicho nilichokua nahoji" mnasemaje ameshindwa wakat hajapewa nafasi,mi naona ni chuki binafsi tu hamna cha weakness ya kukaba wala nini ............

yaani namuombea conte achemshe ........manina.
 
Batshuayi abaki bench tu..hana changamoto yoyote in my view!

Fabregas bado ana-something to offer. Kama aliweza kumchezesha Oscar game tatu/nne kwa kumjaribisha basi sioni akishindwa kumpa Fab more game time nafasi ya Matic tuone akishindwa.




Kwani Fab ni kipa? Mechi zote tatu ambazo hatuna clean sheet (alizocheza Fab)...Cahill alikuwa beki na mbili kati ya hizo magoli yalitokea kwake...Fab angefanyaje hapo!???




Sawa kwa January unaweza sema hatuwezi (sio hatuhitaji) kununua. Ila kwa tunakoelekea msimu ujao...huwezi mtoa say Azpilicueta ukamuingiza Aina na akacheza with the same intensity. Hapo beki pekee mwenye future ni Zouma ambaye naye kwa 3-4-3 namuona kama a bit too slow (au labda ni kwakuwa ndo anarejea from majeruhi).

Ni muhimu kusajili msimu ujao...beki mbili za ziada ndo tubaki na hao watoto (iva na Terry usiwahesabia kwenye orodha yetu).



Kwenye list yako nadhani Chalobah pekee ndo yuko fit. RLC alipewa sifa kabla hajaonesha uwezo, naona kiwango chake sio. Labda aende mkopo next season apate more game time.

Madogo wenye future nzuri bahati mbaya wengi ni strikers - Solanke, Tammy Abraham na B. Traore - ila itafahamuka.

This season tuna striker mmoja tu - Diego Costa - huyo Batshuayi arudishwe alikotoka (return to sender).

Dogo wa Uholanzi? ni nani? Nathan Ake?
siyo kwamba simkubali fab...lakin tukienda kwenye ukweli fab hafit kwenye system ya conte....akicheza fab mara nyingi timu inakuwa haiko balanced..sana tukishambuliwa, tukishambulia okay....fuatilia clips mentor
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom