eden kimario
JF-Expert Member
- Jun 13, 2015
- 10,356
- 16,400
Pia pongezi kwa hawa watu alonso matic ngolo na moses kwa kuwalinda vizuri hawa mabeki watatu huku nyuma si kazi ndogo hata kidogo huu mfumo inabidi kila mmoja ajitume kwa dk zote 90 yaani kiufupi ni lazima ulimi ukutoke