Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Hiyo ni ngumu zaidi kwa kuwa kuna Hazard. Huwezi kuwa na free role players wawili kwenye timu.
nilikuwa namaanisha awe anafanya rotation baadhi ya matches kwa no. 10... la sivyo there is no room 4 fab in 3 4 3....
 
nilikuwa namaanisha awe anafanya rotation baadhi ya matches kwa no. 10... la sivyo there is no room 4 fab in 3 4 3....


Twende taratibu: Unamaanisha kuwa kwa 3-4-3 formation,

- Fabregas hawezi kucheza position anayocheza Matic isipokuwa free-role anayocheza Hazard?

- Fabregas na Hazard hawawezi kupangwa pamoja?

- umemaanisha nini hasa kusema 'there is no room for Fab in 3-4-3'?
 
Chelsea FC Vs Everton - Match stats

Chelsea are unbeaten in their last 21 home Premier League matches against Everton since a 1-0 loss in November 1994 (W11 D10). Only against Tottenham Hotspur (24) are they on a longer unbeaten PL run at Stamford Bridge.

Everton’s run of 21 matches without a win in this fixture is their longest away at another club in the Premier League. Only against Leeds United (36) have they had a longer away run without a win in league history.

Chelsea have exactly double the number of points (22) that they had after 10 Premier League matches last season (11).

Diego Costa has scored three goals and assisted one more in his three PL matches against Everton.

Capture.PNG

 
index.jpg


MILESTONES

If selected, Willian will make his 150th Chelsea appearance and Oscar will make his 100th Premier League start for the club.
 
Twende taratibu: Unamaanisha kuwa kwa 3-4-3 formation,

- Fabregas hawezi kucheza position anayocheza Matic isipokuwa free-role anayocheza Hazard?

- Fabregas na Hazard hawawezi kupangwa pamoja?

- umemaanisha nini hasa kusema 'there is no room for Fab in 3-4-3'?
fab yupo too slow mentor...he cAnt press enough...
 
3-4-3
Courtois

Aspilicueta cahill luiz

Alonso ngolo matic moses

Petro hazard costa

Prediction

Chelsea 2
Everton 1
 
Kikosi ni kama jana wanabadilika wa kwenye bench tu...

Team to face Everton: Courtois; Azpilicueta, David Luiz, Cahill (c); Moses, Kante, Matic, Alonso; Pedro, Diego Costa, Hazard. [HASHTAG]#CHEEVE[/HASHTAG]



Today's subs: Begovic, Aina, Ivanovic, Terry, Chalobah, Oscar, Batshuayi. [HASHTAG]#CHEEVE[/HASHTAG]
 
Kikosi ni kama jana wanabadilika wa kwenye bench tu...

Team to face Everton: Courtois; Azpilicueta, David Luiz, Cahill (c); Moses, Kante, Matic, Alonso; Pedro, Diego Costa, Hazard. [HASHTAG]#CHEEVE[/HASHTAG]



Today's subs: Begovic, Aina, Ivanovic, Terry, Chalobah, Oscar, Batshuayi. [HASHTAG]#CHEEVE[/HASHTAG]
point 3 muhimu tuongoze ligi kwa masaa kadhaa!
 
naona jukwaa hili siku hizi nyama tu tangu kocha alipolia akapata akili

amwambie na pep uingereza kuna rugby
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom