Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

39E2B08B00000578-3887642-image-a-22_1477852114806.jpg



Hofu yangu ni hii back three akiumia mtu!!!
 
39E2B08B00000578-3887642-image-a-22_1477852114806.jpg


Hofu yangu ni hii back three akiumia mtu!!!

Kweli hapo kidogo kuna ugumu nauona kutokana na game ya juzi ya West Ham, Terry kama vile bado hajaelewa mfumo vizuri, na Conte amesema hatomuwaisha Zouma kurudi bali ataendelea kujifua na U-23..

Ila naamini Conte na benchi lake wanalifanyia kazi hilo
 
Kweli hapo kidogo kuna ugumu nauona kutokana na game ya juzi ya West Ham, Terry kama vile bado hajaelewa mfumo vizuri, na Conte amesema hatomuwaisha Zouma kurudi bali ataendelea kujifua na U-23..

Ila naamini Conte na benchi lake wanalifanyia kazi hilo


Yeah hiyo nafasi inamfaa Luiz tu kwa sasa...labda Zouma pia ingawa nimecheki game aliyocheza na under 23 ni kama bado hajiamini, bado ana muda mrefu kurudi alivyokuwa..si chini ya December mwishoni.
 
DIEGO COSTA anatisha ile mbaya,anacheza na nyavu tu...teh!.....teh.....!!
Ila badoooo bado wanahitaji mazoezi ya kufunga aisee...unajua nilikuwa nawaza zile nafasi zimkute Messi...unadhani angekuwa na magoli mangapi


Kingine, naona kama Pedro anachoka sana...anatafuta balls mwenyewe halafu anawapa pasi ila yeye hapati feeds nyingi...angalia hasa game ya leo....mpaka anayosha mikono!!!
 
Mh! Kila siku afadhali ya jana...hii fixture ya November mbona kali kuliko tulikotoka!???

- Everton
- Middlesbrough
- Tottenham
- Manchester City
-
 
Ila badoooo bado wanahitaji mazoezi ya kufunga aisee...unajua nilikuwa nawaza zile nafasi zimkute Messi...unadhani angekuwa na magoli mangapi


Kingine, naona kama Pedro anachoka sana...anatafuta balls mwenyewe halafu anawapa pasi ila yeye hapati feeds nyingi...angalia hasa game ya leo....mpaka anayosha mikono!!!

Unajua Pedro amezoia sana zile za Barca 'nipe nikupenyezee' na kama utakumbuka mwaka jana aliekuwa anaweza kucheza nae hivyo ni Fabregas.....sasa inakuwa ngumu sana pale anapotegemea apenyezewe pasi halafu hapati.

Ila kidogo, kidogo Hazard anajaribu kupenyeza ingawa accuracy yake bado.
 
Mh! Kila siku afadhali ya jana...hii fixture ya November mbona kali kuliko tulikotoka!???

- Everton
- Middlesbrough
- Tottenham
- Manchester City
-

October results
Hully city 0 - 2 Chelsea
Chelsea 3 - 0 Leicester city
Chelsea 4 - 0 Manchester utd
West Ham 2 - 1 Chelsea
Southampton 0 - 2 Chelsea

Mi nnachotaka kukuambia tu usijali mkuu Mentor taratibu tu game baada ya game tutafika
 
Daah!! Wasema kweli???
Kweli kabisa, mwaka juzi mnachukua ubingwa mlijaa sana humu ndani, mwaka jana mlipoteana akabaki mentor peke yake, kalou alikua anachungulia tu, enzo alikua anakuja na tusi moja alafu anapotea, mtuzu alikimbia zaidi ya bolt, mwaka huu mambo si mabaya naona mmeanza kurudi
 
Kweli kabisa, mwaka juzi mnachukua ubingwa mlijaa sana humu ndani, mwaka jana mlipoteana akabaki mentor peke yake, kalou alikua anachungulia tu, enzo alikua anakuja na tusi moja alafu anapotea, mtuzu alikimbia zaidi ya bolt, mwaka huu mambo si mabaya naona mmeanza kurudi

Ha ha ha ha, Ntuzu na kalou bado wanakuja na kuondoka tu inategemea na majukumu yao......ila sijui wengine, ila nakumbuka mwaka jana wote kama uliona niliondoka hata ligi haijaanza, May 2015,
 
Napenda pia kumpongeza conte kwa kubadili mfumo hii imetusaidia mno
Ila naona wachezaji kama willian tery na ivanovich inabidi wajifunze sana kuingia katika huu mfumo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom