Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

PNC pls nielewe,huyu everlenk ni real soccer lady,kwa kweli tunajivunia sana kuwa na wadada wapenda soka kama yy na Wengineo

Pls tunapo ongea nao tuchague sana maneno ya kusema ili tusiwakatishe tamaa,ushabiki wa soka una maneno yake na isitutoke heshima sababu ya soka!

Iam proud to call everlenk my dear friend
Uko sahihi mkuu hata mimi namkubali saaaaana tena saaaana ila huwa napenda kumchemsha dada yangu
 
Uko sahihi mkuu hata mimi namkubali saaaaana tena saaaana ila huwa napenda kumchemsha dada yangu
Lkn team yako matatizo sana,ikicheza na MAJOGOO ya Liverpool leo nakupiga home and away
 
  • Thanks
Reactions: PNC
Lkn team yako matatizo sana,ikicheza na MAJOGOO ya Liverpool leo nakupiga home and away
Ha ha ha ha ha mkuu timu yangu ni bingwa mtetez wa Uefa wa uefa Super cup wa La liga wa FIFA club world champion wa Copa del rey SASA najifikiria utawezaje mfunga wakat mara ya mwisho kakupiga 1:0 Anfield TUTAKE RADHI MABINGWA
 
Nimefarijika mno kupigwa (SKENTAIT)
VIVAA BARCA
VIVAA KING
VIVAA MAN C
VIVAA KUN A


kama wewe moja wapo wa hizi timu unahitaji pongezi sana na ni sifa mojawapo kubwa mno ulimwenguni
 
  • Thanks
Reactions: PNC
Ha ha ha ha ha mkuu timu yangu ni bingwa mtetez wa Uefa wa uefa Super cup wa La liga wa FIFA club world champion wa Copa del rey SASA najifikiria utawezaje mfunga wakat mara ya mwisho kakupiga 1:0 Anfield TUTAKE RADHI MABINGWA
Mambo ya historia hayo,kesho Valencia anakupiga
 
  • Thanks
Reactions: PNC
Hata tungeshinda bado tungekuwa ktk nafas ileile isiyofika top four, tuwaache mancty wapigane na wapinzani wao kucheza UEFA msimu ujao
 
Akija konte anatakiwa awabakishe hawa tu tiba cotous wiliani oscar fabrigasi na petro baasi wengine wote waachwe asajili timu mpya kabisa maana hakuna namna sasa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom