Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Unashabikoa man u Chelsea Barcelon madrid juve ac milan atletico. Sasa wewe ni mshabik au bendera
Simba,Yangaa,Mtibwa,ndanda,Sunderland,Gent,PSG,Lyon,TP Mazembe,Mbeya City,Kagera Sugar,The Black ......ohhhhh siwezi maliza ...
 
Jiungeni na mimi katika Wenger Out Wenger out, Abramovich Out Abramovich Out... Take back our teams.Tukutane next season
 
Hatimae Mike Dean,
amefanikiwa kumnyang'nya msumari toto tundu Agüero asitoboe tairi la mwisho.
 
Pedro OFF - Kennedy ON

Willian OFF - Traore ON.


Sijui kama kuna la maana kafanya kocha. Loftus Cheek anafanya nini uwanjani,angetoka yeye abaki Willian.
Mimi mwenyewe nimeshangaa huyu kocha kaja kuiuwa chelsea kabisa sijui walimwokota wp kwa maana hakua na lengo kabisa
 
Upi best nikumbushe....

😀Unajitoa ufahamu etii... tuungane basi BOCA JUNIORS uachane na hao mashetani wa uingereza hawana Issue yyte kila day wanapigwa na vitimu vidogo ingawa reo mmepata cha kujivunia 1-0😛
 
  • Thanks
Reactions: PNC

Similar Discussions

Back
Top Bottom