Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Tatizo mabek akuna hasa na 4

Sent from my HUAWEI Y530-U00 using JamiiForums mobile app
 
Labda tujaribu draw. Hebu ona mtoto wetu mwenye anatusumbua...De Bruyne ni better kuliko Willian kweli? sitaki kuamini. Shida sasa kina Willian wanalazimika sana kujanyuma kuokoa mipira hivyo attacking force yao inapungua sana.


Simpendi Mikel acha tu!!!
 
Akuna namna nilazima tupigwe maana tumezidiwa

Sent from my HUAWEI Y530-U00 using JamiiForums mobile app
 
Labda tujaribu draw. Hebu ona mtoto wetu mwenye anatusumbua...De Bruyne ni better kuliko Willian kweli? sitaki kuamini. Shida sasa kina Willian wanalazimika sana kujanyuma kuokoa mipira hivyo attacking force yao inapungua sana.


Simpendi Mikel acha tu!!!
Anyway game kaimaliza Kun dakika ya 50's na hata kuiongelea sasa haina maana
 
naumia rohoni sana jamani daaah sijui tumekosa nini sisi?

anyway wazima humu ndani ?

#ktbffh
 
Usajiri utakuwa mgumu kama atufuzu ata europa

Sent from my HUAWEI Y530-U00 using JamiiForums mobile app
 
Nawasalimia washabiki mlioanza shabikia mpira 2008
 
Shemeji upo?

Dalili ya mvua mawingu hizo nafasi ndo magoli yenyewe hayo yanakuja
Bado una watch game?
Mm sasa nime switch TBC naona Taarifa ya habari sababu hamna maana hata ya kuangalia hiyo game,KUN kamaliza game huko
 
Bado una watch game?
Mm sasa nime switch TBC naona Taarifa ya habari sababu hamna maana hata ya kuangalia hiyo game,KUN kamaliza game huko
Mpaka sasa tunaongoza possession ila hakuna goli. One shot on target. Stupid kabisa. Hiddink must GO.
 
Pedro OFF - Kennedy ON

Willian OFF - Traore ON.


Sijui kama kuna la maana kafanya kocha. Loftus Cheek anafanya nini uwanjani,angetoka yeye abaki Willian.
 
Mpaka sasa tunaongoza possession ila hakuna goli. One shot on target. Stupid kabisa. Hiddink must GO.
Wife kaniambia kuwa sasa eti mmeamua kichezesha experimental squad?

Waooo kuna nn mbona wife huko sebuleni anashangilia?Maana yy ni Man City

Kuna nn Mentor ?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom