DesertStorm
JF-Expert Member
- Nov 22, 2015
- 3,184
- 2,597
Goool mnyama KUN ringine tena
3-0
3-0
Poleni sanaKuna Red card na Goli la 3
Sizani mkuu maana kuna kz kubwa sn mkuuPoleni sana
Mwakani chini ya Genious Konte mtakuwa OK
Poleeeee................Sizani mkuu maana kuna kz kubwa sn mkuu
Rudi tu timu yako ya zamani. Bora wale mamluki wa vikombe wapungueDah hii timu sasa itanishinda
Kiongozi salama? Kiongozi mbona ukatukimbia tena?Rudi tu timu yako ya zamani. Bora wale mamluki wa vikombe wapungue
Mkuu sijawahi penda team tofauti na hii kwa England sema tu mwenendo wa The Blues sahivi unanichosha kila siku.Rudi tu timu yako ya zamani. Bora wale mamluki wa vikombe wapungue
Mi huwa sio wa ku comment sana. Ila nipo sana.Kiongozi salama? Kiongozi mbona ukatukimbia tena?
Sikuoni mkuuMi huwa sio wa ku comment sana. Ila nipo sana.
Mbona hii ilikuwa kawaida enzi za Gianluca Vialli na Kapteni Dennis Wise. Ukipanda mlima upande wa pili ni kushuka. Mtanange umeisha. Tupeane pole. Mwaka huu hata usindikizaji hatumoMkuu sijawahi penda team tofauti na hii kwa England sema tu mwenendo wa The Blues sahivi unanichosha kila siku.
Kweli kabisa sioni daliliMbona hii ilikuwa kawaida enzi za Gianluca Vialli na Kapteni Dennis Wise. Ukipanda mlima upande wa pili ni kushuka. Mtanange umeisha. Tupeane pole. Mwaka huu hata usindikizaji hatumo
Basi nitakuwa napita naacha angalau comments. Hope BAK na Nzi hawatapita hapa... Mwe!Sikuoni mkuu
Rudi mkuu
Nawasalimia washabiki mlioanza shabikia mpira 2008