ENZO
JF-Expert Member
- Sep 30, 2010
- 4,248
- 1,745
ukiulizwa kwa nini hii picha umeipost hapo, utakua na jibu kweli? .............sio bure mzimu wa CR7 bado unakutafuna.
Kila lakheritunashukuru mkuu, anakuja na majembe ya maana/adabu na sio hawa akina obi mikel.
conte ndo mtu sahihi wa kuifundisha team kubwa calibre ya chelsea.
Hongereni wakuu kwa kupata kocha mpya natumai msimu ujao malalamiko yenu yataisha
Habari ni hii. Mafiaso wa kirusi anamleta mafiaso wa kitaliano. Soma umafiaso wa Conte. Atawafungisha ili yeye akusanye mapato ya "betting".unazijua habari za chelsea kuliko za timu yako Arse8888.
mkuu hiyo habari ni ya mda na alitumikia baadhi ya adhabu.Habari ni hii. Mafiaso wa kirusi anamleta mafiaso wa kitaliano. Soma umafiaso wa Conte. Atawafungisha ili yeye akusanye mapato ya "betting".
Link Antonio Conte: Call for suspended jail sentence in match-fixing case
Mnakumbushwa tu kwamba mmeletewa kocha mafiaso kama hilo mnalijua na mmeamua kuuza mechi, poa tu. Mkiona mnapoteza mechi ambazo kwa kawaida mlitakiwa mshinde chini ya mhusika "wa habari habari ya mda" msije na kulalamika. Mjue mafiaso kafanya "betting" ya nguvu.mkuu hiyo habari ni ya mda na alitumikia baadhi ya adhabu.
Aisee mdau ungetusaidia kulist majina wengine macho yetu ni shida hatuoniJohn Terry's PFA team selection..,
![]()
Jamaa leo walikuwa wazitoooooo wakiongozwa na Pato....duh kweli bado hana match fitness ni mzito balaa. Chances zake angezipata Traore ingekuwa stori ingine yani.Kweli Mento, sometimes hadi shabiki anatamani aingie acheze