Ed n Edd nEddy
JF-Expert Member
- May 3, 2011
- 5,345
- 6,078
Wakuu poleni nawasifu kwa kuisaidia swansea
Hii ndo sababu Hiddink hakupewa timu.uwezo wa kusoma mchezo hakuwa nao kabisa.
Ila wachezaji nao wazitoooo nilitamani angeweka watoto tu timu nzima.
Ntuzu, Mentor et alHidink muhuni kikosi gani sasa kile hatufanyi majaribio sisi tunataka angalao nafasi ya europa league ati ameniboa sana huyu kocha nilijua tutapoteza tu toka mapema analeta habari za kiluis van gaal hapa
asante, pole na wewe in advance.Poleni sana
Dua la kuku halimpati mwewe......asante, pole na wewe in advance.
SIJAWAHI.....SIJAWAHI kusema Hiddink anafaa kupewq timu. Fuatilia hata huku JF nimekuwa nikibishana sana na kina Ntuzu juu hilo...SIJAWAHI KUTAKA HIDDINK ABAKI.Alipokwenda 6 games bila kupoteza alionekana anafaa kuwa pamanenti, ila leo hafai. Sie washabiki ni shida
SIJAWAHI.....SIJAWAHI kusema Hiddink anafaa kupewq timu. Fuatilia hata huku JF nimekuwa nikibishana sana na kina Ntuzu juu hilo...SIJAWAHI KUTAKA HIDDINK ABAKI.
Jana mwenyewe kakiri lengo lake ni kuhakikisha hatushuki daraja...sasa huyo ni kocha gani mwenye malengo duni hivyo. Jana tungeshinda tungepanda hadi nafasi ya saba...haijalishi wengine wangepataje ila cha muhimu ushindi, at the end ndo tutajua. Yeye keshajiona kamaliza kazi yake..kaniboa sana na speech yake jana fala sana hiddink gunzi.
syria????? nimecheka sana, itakua mou kawaona kama wachawi.Yani Conte ana kazi balaa..kuna wachezaji wengi sana wa kusepa na wa kusajili mpaka namuonea huruma.
Good thing tuna local games tu hiyo itusaidie kutengeneza bond nzuri kwa ajili ya msimu wa 2017/2018 european competitions.
Pato, Falcao, Mikel, Rahman Baba, Loftus Cheek, Pedro, et al ni wa kuondoka kupisha wachezaji wengine kuingia.
Traore anaweza kubakishwa kama backup ila bado tunahitaji backup striker number mbili ambaye anaweza pia kupangwa na Costa in some matches.
Bado tu na wewe shemeji unaona una timu? Uko nafasi ya ngapi mpk sasaivi.?Jamani bado hamyaogopi Majogoo?

Mm nacheza CLBado tu na wewe shemeji unaona una timu? Uko nafasi ya ngapi mpk sasaivi.?![]()
![]()
![]()
Dreamer in dreaminMm nacheza CL
Nakuwa wa 4 EPL May
Nachukua Europa

BVB kakaa Anfield,atapona Submarine?Dreamer in dreamin![]()
![]()
![]()
BvB ilikua ya kina Lewondosky sio hii km mgambo utdBVB kakaa Anfield,atapona Submarine?

Hii inakifunga ww home and away easily kabisa!Mido yako ni Mikel Obi eheheheehBvB ilikua ya kina Lewondosky sio hii km mgambo utd![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Uliniokota wakati ule lkn safari hii nakufunga uzuri tuHii inakifunga ww home and away easily kabisa!Mido yako ni Mikel Obi eheheheeh
