Malafyale
Platinum Member
- Aug 11, 2008
- 13,897
- 11,292
Chelsea hii hii iliyopigwa na mtu anayepigania kushuka daraja Swansea au ipo ingine?Uliniokota wakati ule lkn safari hii nakufunga uzuri tu![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Chelsea hii hii iliyopigwa na mtu anayepigania kushuka daraja Swansea au ipo ingine?Uliniokota wakati ule lkn safari hii nakufunga uzuri tu![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Nakupiga zaidi ya bao 3 Anfield na hata The Genius Hiddink anajuaUliniokota wakati ule lkn safari hii nakufunga uzuri tu![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Hii hii we si utulie uje uone mamboChelsea hii hii iliyopigwa na mtu anayepigania kushuka daraja Swansea au ipo ingine?
Unaota diwaniNakupiga zaidi ya bao 3 Anfield na hata The Genius Hiddink anajua
We need strong squad to face Man City actual when you look our backline is not well. So we need obi at the midle to fight with midles of City Yaya, Fenandinho and De BruyneMh hapa kwenye lineup yetu sijaona plan yoyote aisee. Mikel sijui alimpa juju gani Hiddink.
Wewe na Hiddink peke yenu mnajua uzuri wake, mimi bado.We need strong squad to face Man City actual when you look our backline is not well. So we need obi at the midle to fight with midles of City Yaya, Fenandinho and De Bruyne
Hawa lazima tuwafunge Mentor hebu tulia mkuu uone mamboWewe na Hiddink peke yenu mnajua uzuri wake, mimi bado.
An academy kid can do a better job than Mikel.
Tukicheza kama unavyosema basi tutaungwa mengi maana tayari umeshawaonesha kuwa nyie hampo tayari ku posses mpira, je, tunayo counter nzuri!??
Usijali mkuu hawa City lazima wamiliki mpira lkn lazima wapigwe tuDakika ya sita Chelsea 32% - 68% Man city.
No shot on target (on/off) for us.