Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Kuwa muelewa basi mkuu, sishabikii Chelsea, ila naitambua kama ni mpinzani mkali wa Barcelona kwa siku za karibuni, yaani Barca anaweza kuwa vizuri ila akikutana na Chelsea huwa panachimbika
Bibootylover aise unavyofanya sio vizuri! tutake radhi..BACA KITU KINGINE weka mbali na watoto, chelsea mpange nakina granada, sporting gijon na athletic club hao ndio wa size yake mzee.
 
  • Thanks
Reactions: PNC
Huo unaitwa ushabiki mandazi...lete statistics za baca na Atl....baca na bayern,
Barca 2-Atletico 1 LAKINI dakika 45 zote Atletico walikuwa 9 baada ya wachezaji wawili kupewa kadi nyekundu!Kumbuka Atletic walichukulia ubingwa nyumhani kwa Barca mwaka juzi

Bayern imezorota chini ya Guardiola sababu sio kocha mzuri,Bayern ya kocha Jupp Haycknes ilimtoa Barca kwa 7-1 aggregate
 
Barca 2-Atletico 1 LAKINI dakika 45 zote Atletico walikuwa 9 baada ya wachezaji wawili kupewa kadi nyekundu!Kumbuka Atletic walichukulia ubingwa nyumhani kwa Barca mwaka juzi

Bayern imezorota chini ya Guardiola sababu sio kocha mzuri,Bayern ya kocha Jupp Haycknes ilimtoa Barca kwa 7-1 aggregate

Ok 2-1 si ni ushindi vilevile mkuu hata kama ni 1-0...then ujue kuwa baca ni forever ukiifunga itakua ni bahati mbaya mno once within one year, tofauti na club zingine leo kiwango kimepanda kesho kimeshuka ndio akina bayern hao,
 
  • Thanks
Reactions: PNC
Barca 2-Atletico 1 LAKINI dakika 45 zote Atletico walikuwa 9 baada ya wachezaji wawili kupewa kadi nyekundu!Kumbuka Atletic walichukulia ubingwa nyumhani kwa Barca mwaka juzi

Bayern imezorota chini ya Guardiola sababu sio kocha mzuri,Bayern ya kocha Jupp Haycknes ilimtoa Barca kwa 7-1 aggregate
unaonekana unapata la kusemea sababu atletico walipewa nyekundu ILA NIKUJULISHE TU KUWA HIZO MBILI WALIFUNGWA WAKAT WAKIWA WAMETIMIA ila kama utahoji sana basi nipe mechi ya kabla hyo ya 2;1 kati ya ATLETICO na BARCELONA
 
uploadfromtaptalk1457723622164.jpg

Nitake radhi mkuu, niko barca ila kiukweli huwa tukikutana na Chelsea mambo huwa magumu
 
Duuuuuuuh,, wanachelsea wenzangu kiukwelii ushndi wa leo utakuwaa mgumuu
 
Mhuuuuu kazi ipo,, absence of Costa,, pigooo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom