Mentor
JF-Expert Member
- Oct 14, 2008
- 20,334
- 23,941
Vipi hapa? Mama Diouf ameharibu hao magarasa au nini kimekufanya uwe "mpole" Mentor?
Yokohama imeanza safari vizuri tu iko nafasi ya 10 au?
Ntuzu anamfata Mou Aston Villa au anabaki Daraja bovu?
Leo tulikuwa twaenda nafasi ya 7 point 42 ujinga wa kocha kuchezesha wachovu kisa psg wakati kule twajua tunatoka
Au vipi bandugu, Sare ni matokeo mazuri?Nitamlaumu Guus km atafungwa game ya PSG
Lkn kwa alivyopanga kikosi Jana nategemea anajiandaa vzr kukabiliana na PSG.
So kwa mtazamo wangu japo kua tumepata sare bado ni matokeo mazuri
"Polepole ndio mwendo" au unataka Mourinho arudi mkuu?Leo tulikuwa twaenda nafasi ya 7 point 42 ujinga wa kocha kuchezesha wachovu kisa psg wakati kule twajua tunatoka
na wewe pole pole na arsenal yako mtabebaba ubingwa."Polepole ndio mwendo" au unataka Mourinho arudi mkuu?
Guus amewatoa nafasi ya 17-16, kwenda 15-14., 11, 10 ..... hiyo nafasi unayoitaka ya 7 inakuja.
Guus anataka mkataba wa kudumu sio wa kuivusha Yokohama na relegation tu.
Wewe uliza Ntuzu au Everlenk atakutajia timu zangu, moja inashuka daraja, uwezekano 90% ingine itatwaa taji kutoka Daraja bovu.na wewe pole pole na arsenal yako mtabebaba ubingwa.
Unamjua huyu mama(dada)? Bado anadai chake kutoka kwa Mafiaso wa kirusi na Domokaya.na wewe pole pole na arsenal yako mtabebaba ubingwa.
Mnacheza lini na PSG marudiano?Nitamlaumu Guus km atafungwa game ya PSG
Lkn kwa alivyopanga kikosi Jana nategemea anajiandaa vzr kukabiliana na PSG.
So kwa mtazamo wangu japo kua tumepata sare bado ni matokeo mazuri
Nafikiri ni kesho MkuuMnacheza lini na PSG marudiano?
Hii ni dalili kwamba umeshakubali kipigo cha kesho. Yule Abrahamovic ni "mhuni" kuliko Costa.Nafikiri ni kesho Mkuu
Ngoja nicheki ratiba ili niwe na uhakika
Hii ni dalili kwamba umeshakubali kipigo cha kesho. Yule Abrahamovic ni "mhuni" kuliko Costa.
Mmeepuka relegation msimu huu, hali hiyo ni "ubingwa" tosha kwa mabingwa wa msimu uliopita.