Hadi Ww umefufuka kweli Chelsea is back!!!!!!Eeeeeh is back
Naona tunapanda. Iwapo kila mechi kuanzia sasa tutashinda, tutakuwa pazuri tu
Zile game zilikua ni ngumu ndio maana akaingia na ile approach.Mi naomba tushinde game tatu kwanza, sema ni uzembe wa kocha tu! kuna game za kushinda nyingi alizifanyia uzembe ..............
Mkuu anadarubini![]()
fabripass ni noumaaaa .............. hapo anaonyesha kuwa anamaono ya mbali.
Zile game zilikua ni ngumu ndio maana akaingia na ile approach.
Leicester mmmmh
Swala si kupaki basi.... Swala ni kutengeneza safu ya ulinzi imara na kutokupoteza mchezo ili kujenga kujiamini wachezaji.... Na hii imesaidia kiakili wachezaji wote ile hari ya kua wanaweza kufanya makubwa imerudi.kuna game against watford na bournamouth sidhani hat kama kulikua na haja ya kupaki basi, game ya man u na ya Everton pia zilikua zakushinda kabisa ........... hata game yamarudiano agaist Leicester sidhan kama kuna haja y kupak basi.
Mmmmh matusi banaArsenal captain left...won trophies in spain, come back..won league with chelsea. still no tittle for arsenal!!![]()