ENZO
JF-Expert Member
- Sep 30, 2010
- 4,248
- 1,745
asante mkuu ushindi kawaida yetu, hao man shit mtori tu kwetu" tutawatandika mpaka utawaonea huruma ..............
i dont agree, unampendekeza nani labda? .............Simeon na Morinho hawana tofauti,
Hii post naiweka katika maktaba yangu mkuuasante mkuu ushindi kawaida yetu, hao man shit mtori tu kwetu" tutawatandika mpaka utawaonea huruma ..............
Hii post naiweka katika maktaba yangu mkuu
Vipi hapa wa daraja bovu?asante mkuu ushindi kawaida yetu, hao man shit mtori tu kwetu" tutawatandika mpaka utawaonea huruma ..............
Vipi hapa wa daraja bovu?
Mafiaso ametoa mapesa ya kupaka rangi daraja?
Mlifurahi kuwaadhibu wababe wa Man. United 5- 1 , FA wameamua kuwajaribu kama mnaweza vita.
Mafiaso wa Man.City(mtu pori) wametangaza rasmi mwisho wa Yokohama. Umesikia au vipi?
Yule jamaa mrembo ambaye vikombe/mataji yanapomsikia au kumwona tu yanajipeleka yenyewe anatua Porini kiangazi kitakapoanza.
Mafiaso wa kirusi itampasa ajitayarishe kwa kuweka karibu panga la kuwakata kichwa makocha atakaowapa kibarua.
Haya bandugu kaeni mkao wa kuliwa.
Mwendo mdogo mdogo kumfukuzia Arsenal. Kumtimua Mou ulikuwa uamuzi mzuri. Guus anapapatua vizuri tokea ameingia kukarabati daraja.
Ntuzu imehamia wapi?
Me nashauri mfungwe tu. Maana hakuna namnaembu tushauri na leo tushinde tano, au tupunguze dozi.

Hongereni Nafasi ya 13 si haba.....