Malafyale
Platinum Member
- Aug 11, 2008
- 13,897
- 11,292
Wewe endelea kumuuga Origi maana Benteke yupo kama robot.
Benteke scored more goals than COSTA and Hazzard combined?
Wewe endelea kumuuga Origi maana Benteke yupo kama robot.
Benteke scored more goals than COSTA and Hazzard combined?
Msimu gani huo?????!
point1 si haba bora tungebak tu bila kocha, hongerani na nyie kijana, ila mlikua mnapumulia mashine dk. za mwisho,benteke yupo slow sanaa.......
Mechi ya leo tulitakiwa kushinda....not a draw.
Jambo jema tu furaha yangu itarejea jumatatu.
nyie hamuoni ndio mnaelekea mkiani ............. angalia chelsea inatoka wapi inaelekea wapi, na manure inatoka wapi inaelekea wapi.Tukiwachapa tu The Blauz halaf kina Norwich wakishinda TOP 3 YA MKIANI (Nafac ya 18 inawahusu kina @Ntuzu...@Mentor..@ENZO..@Root NA wapambe wengine
Slow ndio aliwatungua darajani msimu huu amefanya Agosti8 dawa kamaliza anatumia za Miti Shamba tehteh haonekani.Teeehe teehe asante...... Wacha kocha akaribishwe vizuri mkuu
Hiddink kazi yake ni kuhakikisha mshishuke daraja kwa jana amepata matokeo mazuriChelsea players were pathetic jana usiku.
Guus Hiddink alithibitisha ni kwa nini akaitwa interim coach...mpaka dakika ya 60 hujaona mabadiliko kwenye mchezo na hufanyi mabadiliko utakuwa unataka nini sasa!
Game unaanza na Zouma na Mikel kwani tunacheza na combined team ya Barcelona na Madrid???!
Hiddink kazi yake ni kuhakikisha mshishuke daraja kwa jana amepata matokeo mazuri
Slow ndio aliwatungua darajani msimu huu amefanya Agosti8 dawa kamaliza anatumia za Miti Shamba tehteh haonekani.
Kwema hapa ndugu yangu?Week hii mna matumaini yyt angalau ya point moja?Clearly ndicho kilichotokea, kocha hakutaka tushinde! very stupid indeed...