Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Hii penati aliyokosa ingekuwa enzi za Mourinho mngesema wanamhujumu

bora umeliona hilo yaani watu wa ajabu sana, chelsea ikishinda utasikia wanasema walikua wanamuhujumu morinho mbona kipindi cha morihno walikua hawashindi, chelsea wakiendelea kufungwa utasikia mzimu wa morihno unawaandama .................
 
Wakuu siku hizi hata update hamtoi? Hongera kwa Costa Ntuzu kalou bila kumsahau ENZO

point1 si haba bora tungebak tu bila kocha, hongerani na nyie kijana, ila mlikua mnapumulia mashine dk. za mwisho,benteke yupo slow sanaa.......
 
Last edited by a moderator:
Oscar kaniboa sana leo aisee afadhali hazard kapona walau awekwe benchi. Sema na hivi jtatu Costa yupo suspended ndo lazima kacheze....hope kocha atamkaripia aache unyimi.
 
point1 si haba bora tungebak tu bila kocha, hongerani na nyie kijana, ila mlikua mnapumulia mashine dk. za mwisho,benteke yupo slow sanaa.......

Mechi ya leo tulitakiwa kushinda....not a draw.

Jambo jema tu furaha yangu itarejea jumatatu.
 
Nipo mkuu
Mou amefungishwa virago, timu imegoma kufungwa. Timu inacheza vizuri lakini timu ya shamba Watford ilisafiri kwa basi kuja daraja bovu. Walipata moyo walipoona kiwanja cha ze bluuz kinafanana na cha kwao, wamezoea kucheza katika viwanja vya aina hii.

Ntuzu maumivu yanapungua kidogo kidogo. Lakini wameamua kuwaweka 15 mgongoni.

Ding dong amekutana na King Kong leo. Teh teh. nimekuona kule umeenda kutoa hongera!
 
Ntuzu Mentor ndugu zanguni kwema hapa?Mna game gumu kesho kati ya "Kumbi na Kumbinga" na yyt kati yenu anaweza kushinda na nawaombeni tu zidisheni ushirikiano hapa hata kama mtashuka daraja!
 
Last edited by a moderator:
J3 tunaenda kufufuka rasmi sasa kwa man u,
Ili eshima iwepo kwanza hapa dunian
 
Ntuzu Mentor ndugu zanguni kwema hapa?Mna game gumu kesho kati ya "Kumbi na Kumbinga" na yyt kati yenu anaweza kushinda na nawaombeni tu zidisheni ushirikiano hapa hata kama mtashuka daraja!

Wewe endelea kumuuga Origi maana Benteke yupo kama robot.
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom