Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Hakuna sumu yoyote ile tumepewa. Marefa wa FA kwa namna moja au ingine wanakosea sn.... Na wanazihujumu sn timu zingine. Wachezaji pia wamekua mizigo kwa baadhi sasa ktk hayo mi namuona Mou yuko sahihi kabisa kwani haiitaji mpk uvae miwani kuyaona hayo.

Mourinho ni mshindi siku zote ndio maana hawezi kukiri kua ameshindwa leo. Ukitaka kumshinda Mou lazima umfanyie fitina. Lkn km ni hivi tu lazima akupige tu

mapenz yako kwa morinho yanakufumba macho! wapo makocha kibao wazuri zaidi yake, kwenye ukweli wanakubali kuwa kweli game lilikua tafu. morinho ni mshindi siku zote sikatai lakini mshindi wa kupaki malory.

kama sio sumu embu niambie!' unasema kuwa walikua wanamfanyia kusudi, niambie ugomvi wao ni nini?! .............
 
mapenz yako kwa morinho yanakufumba macho! wapo makocha kibao wazuri zaidi yake, kwenye ukweli wanakubali kuwa kweli game lilikua tafu. morinho ni mshindi siku zote sikatai lakini mshindi wa kupaki malory.

kama sio sumu embu niambie!' unasema kuwa walikua wanamfanyia kusudi, niambie ugomvi wao ni nini?! .............

Kupaki lory ni moja ya mbinu ya mpira wa miguu mi sioni km ni hoja sn kila Mara usemapo kupaki lory au bus. Hiyo ni moja ya mbinu ambayo kila kocha anaweza kuapply. Kwa mfano makocha wengine wanaamini kua kushambulia sn ni moja ya njia ya kumzuia adui lkn kwa Mou anaona njia nzuri ya kujilinda ni kupaki lory na kutumia makosa ya timu pinzani kupata goli. Mfano ata ktk ndondi Maywhether amekua bondia mzuri na asiye pigika kwasababu ya kujilinda vzr. Lkn Manny Paq amekua akipigwa pamoja na uzuri wake kwasababu ya kushambulia sn na kuachi mapokezi yake kufumuliwa. Mfano mzuri ni mpambano wake na Marquez ule aliopigwa mpk kuzimia. Sasa tukija kwa Mou ni muumini wa kujilinda na hiyo mbinu inampatia mafanikio.


Nimekua nikimfatilia Mou ktk timu zote alizopita karibu ya michezo yake asilimia kubwa ya michezo alishindwa kwa fitina. Sasa km alishindwa kwa fitina unataka akubali tu kua game ilikua tough? No haiwezekani.

Kweli Nina mapenzi sn na Mou kwasababu naamini ktk falsafa yake kua mchezaji wake yoyote Yule anaweza na star km mastar wakubwa ndio maana alipotua Chelsea pale awali wachezaji wa timu ya Chelsea wote walikua na uwezo mkubwa wa ustar hali ya juu. Hii ni moja ya falsafa yake ninayo ipenda. Ni mwanamapinduzi mkubwa wa soccer na amefanya soccer kua na ushindani mkubwa. Wataalam wa soko wanamuhitaji sn Mourinho kuliko unavyoweza kufikiri.

Ugomvi wao ni viwango vyao kushuka. Na akiwambia hawakubali. Akiwaweka benchi wanachukia.
 
7474_973644579357219_6978720855479104850_n.jpg


I'm pleased that Pat Nevin and the BBC have now apologised and corrected their comments. I can reiterate that I had an exceptionally good relationship with Jose Mourinho as I will aim to have with any coach that I play for. The football club is more important than any one player. We have all let the manager and club down this year as a collective unit. We will get this right of that I am sure. With all your help we can put this period behind us and make chelsea great again.

- Cesc Fabregas

 
Last edited by a moderator:
Kupaki lory ni moja ya mbinu ya mpira wa miguu mi sioni km ni hoja sn kila Mara usemapo kupaki lory au bus. Hiyo ni moja ya mbinu ambayo kila kocha anaweza kuapply. Kwa mfano makocha wengine wanaamini kua kushambulia sn ni moja ya njia ya kumzuia adui lkn kwa Mou anaona njia nzuri ya kujilinda ni kupaki lory na kutumia makosa ya timu pinzani kupata goli. Mfano ata ktk ndondi Maywhether amekua bondia mzuri na asiye pigika kwasababu ya kujilinda vzr. Lkn Manny Paq amekua akipigwa pamoja na uzuri wake kwasababu ya kushambulia sn na kuachi mapokezi yake kufumuliwa. Mfano mzuri ni mpambano wake na Marquez ule aliopigwa mpk kuzimia. Sasa tukija kwa Mou ni muumini wa kujilinda na hiyo mbinu inampatia mafanikio.


Nimekua nikimfatilia Mou ktk timu zote alizopita karibu ya michezo yake asilimia kubwa ya michezo alishindwa kwa fitina. Sasa km alishindwa kwa fitina unataka akubali tu kua game ilikua tough? No haiwezekani.

Kweli Nina mapenzi sn na Mou kwasababu naamini ktk falsafa yake kua mchezaji wake yoyote Yule anaweza na star km mastar wakubwa ndio maana alipotua Chelsea pale awali wachezaji wa timu ya Chelsea wote walikua na uwezo mkubwa wa ustar hali ya juu. Hii ni moja ya falsafa yake ninayo ipenda. Ni mwanamapinduzi mkubwa wa soccer na amefanya soccer kua na ushindani mkubwa. Wataalam wa soko wanamuhitaji sn Mourinho kuliko unavyoweza kufikiri.

Ugomvi wao ni viwango vyao kushuka. Na akiwambia hawakubali. Akiwaweka benchi wanachukia.


mpira ni burudani bhana, hiyo falsafa yake ya kupaki malori sio. ingekua mpira ni magoli peke yake" timu zingekua zinaingia uwanjani kupigiana penalt tu basi.

morinho anakuza mastaa au anaua mastaa?! hao mastaa waliokuja darajani ni kwasababu ya nguvu ya pesaa ila sio morinho. tumebeba UEFA hata bila huyo morinho.bila morinho chelsea itakwepo na itazid kwepo.

mi nachojua vipigo vimeanza tokea pre-season, na game la community shield pia tukachezea, na hata kabla hawajawekwa benchi pia tulichezea, hata wakiwa benchi pia tukachezeya! ...............

kwa hiyo kama ni bifu useme lilikua tokea pre season ndio nitakuelewa. ndio mana nashangaa watu wanashabikia sijui kulikua na bifu, ukiwauliza bifu gani? hawajui.
 
mpira ni burudani bhana, hiyo falsafa yake ya kupaki malori sio. ingekua mpira ni magoli peke yake" timu zingekua zinaingia uwanjani kupigiana penalt tu basi.

morinho anakuza mastaa au anaua mastaa?! hao mastaa waliokuja darajani ni kwasababu ya nguvu ya pesaa ila sio morinho. tumebeba UEFA hata bila huyo morinho.bila morinho chelsea itakwepo na itazid kwepo.

mi nachojua vipigo vimeanza tokea pre-season, na game la community shield pia tukachezea, na hata kabla hawajawekwa benchi pia tulichezea, hata wakiwa benchi pia tukachezeya! ...............

kwa hiyo kama ni bifu useme lilikua tokea pre season ndio nitakuelewa. ndio mana nashangaa watu wanashabikia sijui kulikua na bifu, ukiwauliza bifu gani? hawajui.

Mpira ni ushindi hiyo burudani kaa nayo wewe mwisho wa siku ushindi ndio kila kitu.

Naomba uniambie ni kipaji gani cha mchezaji ambacho Mourinho alikiua ata wakati alipokua timu zingine? Niambie ni mastar gani wenye level ya kina Zidane au De Lima au Gaucho walikuja Chelsea Mou akawauwa? Au Mou anasajili wachezaji wazuri na sio mastar na kuwafanya wachezaji wakubwa na mastar na imara? Sio pesa tu ndo inawafanya wachezaji kuja Chelsea, wanakuja Chelsea ili wafundishwe na kocha bora. Km mpira ni burudani basi fifa wangepitisha hiyo kua sheria.


Uefa km Mou angeendelea kuwepo hapo Chelsea angeibeba tu maana hiyo ndio azima yake.

Okay hili swala la wachezaji kushuka viwango limeanza kitambo sio kipindi hichi tu
 
Mpira ni ushindi hiyo burudani kaa nayo wewe mwisho wa siku ushindi ndio kila kitu.

Naomba uniambie ni kipaji gani cha mchezaji ambacho Mourinho alikiua ata wakati alipokua timu zingine? Niambie ni mastar gani wenye level ya kina Zidane au De Lima au Gaucho walikuja Chelsea Mou akawauwa? Au Mou anasajili wachezaji wazuri na sio mastar na kuwafanya wachezaji wakubwa na mastar na imara? Sio pesa tu ndo inawafanya wachezaji kuja Chelsea, wanakuja Chelsea ili wafundishwe na kocha bora. Km mpira ni burudani basi fifa wangepitisha hiyo kua sheria.


Uefa km Mou angeendelea kuwepo hapo Chelsea angeibeba tu maana hiyo ndio azima yake.

Okay hili swala la wachezaji kushuka viwango limeanza kitambo sio kipindi hichi tu

Angeendelea kuwepo angebeba UEFA au angebeba Championship?! ingekua mpira ni magoli watu wasingejazana vile uwanjani au kwenye mativii kuungalia, wangesubiria tu mpira uishe waangalie kwenye livescore.

labda uniambie wewe morinho amewafanya wachezaji gani kuwa mastaa kuwa level za kuna zidane, delima au gaucho?!

Sasa kama unajua kuwa wachezaji wameshuka kiwango siku nyingi mbona mnasema kuwa walikua wanamfanyia makusudi, mtu kama hazard kweli ameshuka kiwango ila alikua anaonyesha jitihada sana, kama game na bornamouth alicheza sana walikosa sana magoli mwisho wa siku ikatokea kona tukafungwa, oscar nae siku zote namwona anajitahidi sana sana ila nashangaa wakat wa kufanya sabu anamtoa yeye badala ya kumtoa fab ambae kwa wakat huo game unakuta halijamkalia fresh. lakini watu utakuta wanaropoka tu oscar, hazard cjui fabrigus, costa sijui ni mapanya.

morinho hakua sahihi kusema wachezaji wanamfanyia kusudi!', ilihali anajua kikosi ni kilekile cha msimu uliopita na kimechokaa. star hawezi kutoka alikotoka aende kufundishwa na morinho kupaki basi, wachezaji wanaangalia maslai bhaaassssiiiiiii.
 
STUPID PEOPLE BETRAYED MOURINHO.

Dr Eva Carneiro is a beautiful woman but very stupid! On 8th August, when Chelsea were playing against Swansea, Dr Eva was supposed to know that Chelsea were only nine men on the pitch. So she was supposed to communicate with the coach that Eden Hazard will never continue playing, and should be substituted! Instead of communicating, Dr Eva was just wasting time by pampering and petting Hazard who was simply tired, not injured. Mourinho was right to fume, and speak the truth.

This caused Dr Eva to retreat from her duty. Chelsea players are stupid because they love Dr Eva Carneiro more than the Coach Jose Mourinho, even than the Club. The stupid players followed their stupid Dr to betray the club. They started a campaign of playing stupidly so that to hurt Mourinho. The forwards feet were too fragile to score a goal. The backs feet were too fragile to defend a goal! Very stupid indeed.

Eventually, the stupid's deal is done. The special one is not only fired but also hurt, humiliated as well as devastated!

As a very submissive fan of Jose Mourinho I share the pain. Though I will remain a fan of The Blues, my eyes will be stuck on Mourinho's business out of Chelsea. I believe one day the master will mount to peak of football arenas!

After the departure of the special one at the Stamford Bridge the stupid players are said to return to the winning ways. The match against Sunderland was a punishment to Mourinho. Even on boxing day the stupid players will punish Mourinho. They now play hard in order to punish Mourinho. These are stupid players motivated by the action of a stupid Doctor. Stupid again, OK?
 
What just happened...pale kati ni kama hatuna watu...back passes nyingi...tunakaribia kufanna na man utd aisee..this is very bad
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom