Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Nimechukia sana Jose kuondoka darajani!

hawa 3 rats nawachukia zaidi kwa sasa! 10, 19,4


kwanini msihame nae tu wakuu.
ili nafsi zenu ziridhike.

Daah jose' akitua man itaniuma sana kama inavyo niuma kuondoka chelsea,na hakika tukikutana na man U ya jose' tumekwisha tutachezea kipigo kama paka mwizi vile.
 
kwanini msihame nae tu wakuu.
ili nafsi zenu ziridhike.

Mkuu ENZO kuhama haiwezekani aisee, acha sisi tubaki hapa hapa mjini, najua siku moja "speacial one" atarudi tu home-chelsea!

Acha tuendelee na hawa panyabuku watatu!
 
Last edited by a moderator:
Mkuu ENZO kuhama haiwezekani aisee, acha sisi tubaki hapa hapa mjini, najua siku moja "speacial one" atarudi tu home-chelsea!

Acha tuendelee na hawa panyabuku watatu!

sasa kwa nini isiwezekane mkuu?! wakati wewe inaonyesha unampenda morinho wala sio chelsea, kuliko kulalamika bora umfuate mkapaki mabasi na malori huko huko aendako wala hata asirudi darajani ................
 
Last edited by a moderator:
sasa kwa nini isiwezekane mkuu?! wakati wewe inaonyesha unampenda morinho wala sio chelsea, kuliko kulalamika bora umfuate mkapaki mabasi na malori huko huko aendako wala hata asirudi darajani ................

Leo hii unaandika hivi? Ivi hapo Chelsea ktk hizi zama za Abramoney kuna kocha yoyote ambae Amefikia mafanikio km ya Jose? Hizo hizo mbinu za kupaki maroli na mabasi ndio zimemfanya awe kocha bora na mwenye mafanikio.

We umekua nani umzuie Mou asirudi Darajani? Abramoney Mara ya kwanza walifukuzana vibaya sn na Mourinho lkn alikwenda kumuangukia tena Mou ili arudi darajani. Na amerudi katupa makombe mawili safi kabisa

Safari hii Mourinho kasimamishwa kz kwasababu kubwa moja hana maeleano na baadhi ya wachezaji na ata km angeendelea kua hapo mambo yangekua mabaya tu. Lkn ukweli ni kwamba pale Darajani hakuna tena km Mou
 
Leo hii unaandika hivi? Ivi hapo Chelsea ktk hizi zama za Abramoney kuna kocha yoyote ambae Amefikia mafanikio km ya Jose? Hizo hizo mbinu za kupaki maroli na mabasi ndio zimemfanya awe kocha bora na mwenye mafanikio.

We umekua nani umzuie Mou asirudi Darajani? Abramoney Mara ya kwanza walifukuzana vibaya sn na Mourinho lkn alikwenda kumuangukia tena Mou ili arudi darajani. Na amerudi katupa makombe mawili safi kabisa

Safari hii Mourinho kasimamishwa kz kwasababu kubwa moja hana maeleano na baadhi ya wachezaji na ata km angeendelea kua hapo mambo yangekua mabaya tu. Lkn ukweli ni kwamba pale Darajani hakuna tena km Mou

FACT:Chelsea ni timu iliyokuzwa na JOSE bila yeye hakuna ambaye angeijua na ndio mana mashabk wote wa chelsea AFRIKA wameanza ishabkia kuanzia 2006 kwenda juu hakuna hata mmoja alyeanzia 2004 au 2000 wakat huo ikpgwa 5:1 na BARCELONA hvyo MUNGU WA CHELSEA NI MOURINHO MSIMPUUZE
 
FACT:Chelsea ni timu iliyokuzwa na JOSE bila yeye hakuna ambaye angeijua na ndio mana mashabk wote wa chelsea AFRIKA wameanza ishabkia kuanzia 2006 kwenda juu hakuna hata mmoja alyeanzia 2004 au 2000 wakat huo ikpgwa 5:1 na BARCELONA hvyo MUNGU WA CHELSEA NI MOURINHO MSIMPUUZE

Teh teh teh...... Hizo goli 5 wakati Barcelona anaifunga Chelsea. Wachezaji wa Chelsea walikua 7 uwanjani? Maana nijuavyo Mimi Barcelona hawezi ifunga Chelsea huku ikiwa na wachezaji kamilifu. Yani Barcelona atacheza kichapo tu.

Nimekua shabik wa Chelsea tangu wewe uko chekechea.....
 
Teh teh teh...... Hizo goli 5 wakati Barcelona anaifunga Chelsea. Wachezaji wa Chelsea walikua 7 uwanjani? Maana nijuavyo Mimi Barcelona hawezi ifunga Chelsea huku ikiwa na wachezaji kamilifu. Yani Barcelona atacheza kichapo tu.

Nimekua shabik wa Chelsea tangu wewe uko chekechea.....

ha ha ha ha na hii ndio 7bu nilisema washabk wa chelsea wameanza shabkia mpira karne ya 21 sasa hujui hata 2000 uefa mlitolewaje? pia jua kuwa mimi nimeanza shabkia mpira 1986 kpndi MARADONA ANATUA BARCA wakat huo hufkiriw duniani
 
Leo hii unaandika hivi? Ivi hapo Chelsea ktk hizi zama za Abramoney kuna kocha yoyote ambae Amefikia mafanikio km ya Jose? Hizo hizo mbinu za kupaki maroli na mabasi ndio zimemfanya awe kocha bora na mwenye mafanikio.

We umekua nani umzuie Mou asirudi Darajani? Abramoney Mara ya kwanza walifukuzana vibaya sn na Mourinho lkn alikwenda kumuangukia tena Mou ili arudi darajani. Na amerudi katupa makombe mawili safi kabisa

Safari hii Mourinho kasimamishwa kz kwasababu kubwa moja hana maeleano na baadhi ya wachezaji na ata km angeendelea kua hapo mambo yangekua mabaya tu. Lkn ukweli ni kwamba pale Darajani hakuna tena km Mou

naheshimu sana mafanikio yake" na tunasema asante kwa mafanikio aliyoyaleta pale darajani atabaki kuwa mmoja wa watu muhimu sana aliyeleta mafanikio pale darajani, i respect that.

Lakini tatizo la nyie mashabiki morinho amewapa sumu pale aliposema kuwa wachezaji wanamfanyia makusudi!' embu niambie kwa nini? wamfanyie makusudi?! halafu kingine Morihno ndio tabia yake hajawahigi kukubali hata timu ifanye vibaya vipi hata kwa kuonekana kabisa, lazima blame ziende kwa wachezaji au marefa, hajawahi kusema hata siku moja kuwa leo kweli nimezidiwa mbinu.

mi siwezi kumzuia asije pale darajani! akija nitampokea mana sina jinsi, ila i hope he wont come. ila kwa sasa aende tu huko akapaki basi huko huko.
 
naheshimu sana mafanikio yake" na tunasema asante kwa mafanikio aliyoyaleta pale darajani atabaki kuwa mmoja wa watu muhimu sana aliyeleta mafanikio pale darajani, i respect that.

Lakini tatizo la nyie mashabiki morinho amewapa sumu pale aliposema kuwa wachezaji wanamfanyia makusudi!' embu niambie kwa nini? wamfanyie makusudi?! halafu kingine Morihno ndio tabia yake hajawahigi kukubali hata timu ifanye vibaya vipi hata kwa kuonekana kabisa, lazima blame ziende kwa wachezaji au marefa, hajawahi kusema hata siku moja kuwa leo kweli nimezidiwa mbinu.

mi siwezi kumzuia asije pale darajani! akija nitampokea mana sina jinsi, ila i hope he wont come. ila kwa sasa aende tu huko akapaki basi huko huko.

Hakuna sumu yoyote ile tumepewa. Marefa wa FA kwa namna moja au ingine wanakosea sn.... Na wanazihujumu sn timu zingine. Wachezaji pia wamekua mizigo kwa baadhi sasa ktk hayo mi namuona Mou yuko sahihi kabisa kwani haiitaji mpk uvae miwani kuyaona hayo.

Mourinho ni mshindi siku zote ndio maana hawezi kukiri kua ameshindwa leo. Ukitaka kumshinda Mou lazima umfanyie fitina. Lkn km ni hivi tu lazima akupige tu
 
Hakuna sumu yoyote ile tumepewa. Marefa wa FA kwa namna moja au ingine wanakosea sn.... Na wanazihujumu sn timu zingine. Wachezaji pia wamekua mizigo kwa baadhi sasa ktk hayo mi namuona Mou yuko sahihi kabisa kwani haiitaji mpk uvae miwani kuyaona hayo.

Mourinho ni mshindi siku zote ndio maana hawezi kukiri kua ameshindwa leo. Ukitaka kumshinda Mou lazima umfanyie fitina. Lkn km ni hivi tu lazima akupige tu

ni kweli mkuu wakat Mourinho anapgwa 5:0 na Barca alikuwa anafanyiwa fitina au zile 5 za kina harry kane nazo fitina
 
ha ha ha ha na hii ndio 7bu nilisema washabk wa chelsea wameanza shabkia mpira karne ya 21 sasa hujui hata 2000 uefa mlitolewaje? pia jua kuwa mimi nimeanza shabkia mpira 1986 kpndi MARADONA ANATUA BARCA wakat huo hufkiriw duniani

Hahahhaha wakati huo huna hata ndoto ya Wewe kuwepo hapa duniani,vingungwe tumetulia tu tunaona vijana mnavyobishana...lol
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom