Huyu si ndo alikuwa akimkejeli Wenger kuwa 'bingwa wa kufeli'
Huyu si ndo alikuwa akimkejeli Wenger kuwa 'bingwa wa kufeli'
Swali zuri!Mara ya mwisho wenger kuchukua epl lini
Root ameshinda kesi. Mahakama ya mafiaso wa kirusi na genge lake lilikutana juzi na kuamua kumpumzisha Mou ili kulinda heshima yake.
skyFootball: Pep Guardiola will leave Bayern Munich next week, according to reports in the German media https://t.co/UYhejoy7n8 https://t.co/rVixfrFedPhaya leta Gudiolaaaa .............fastaaaaa
Hao makocha wote walio tajwa kuja chelsea hawana sifa za kumzidi mour. Kidogo gadiola ,hata hivyo hawezi kuja kwa sababu yeye shida yake ni man au city
Asante akwende zake..tumemchoka sisi ni timu kubwa bana
Maumivu hayo yalikuwa pande zote bwana.... Weeekend hata haikuwa njema kwangu... 2008 ni msimu wetu The Blues, hizi 'road bumps' ndogo ndogo hazituzuii kumaliza safari!!!
Teacher:
Devise a formula and evaluate Chelsea's Position as of Monday, December 14 (10 marks)
Student:
Position = Goal Difference/Win + Lost/Draw + Points
= -8/4 + 9/3 + 15
= -2 + 3 + 15
= 1 + 15
= 16
Method 2
Let Win = W, Draw = D, Lose = L, Goal difference = GD and Points = P
Position = (GD ? D + L ? W + P ? W ? D)/W ? D
= (-8 ? 3 + 9 ? 4 + 15 ? 4 ? 3)/ 4 ? 3
= (-24 + 36 +180)/12
= 192/12
= 16
Therefore Chelsea is on 16th position
Teacher
✅ Excellent work!
Huyu si ndo alikuwa akimkejeli Wenger kuwa 'bingwa wa kufeli'
Mwenye jukwaa amekasirika, ameamua kufanya yake! Ha haahhh.
Ze Yokohama itakuua kwa peresha, ile inaitwa mkandamizo wa damu. Enenda likizo au mapumziko. Titarudi baadae utakapoamua kuachia.