Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Nimewambieni msicheze mpira, huo hamjui. Yenu ni kujiangusha angusha tu ndio mnaweza na mbinu hii ndio inayowafaa. Na yele mhuni Costa ku-provoke wapinzani.
Nimejua baada ya mechi na kujua matoeo mtafufuka tu na kuanza domokaya kama kawaida yenu.

Wacha nikupe "hongera" tu kwa leo. Ntuzu.

Jiandae kwa tarehe 14.

Naenda kumchapa Leicester city tarehe 14....
 
Ntuzu
Habari zimevuja , mafiaso wa kirusi ametoa pauni 9000 ili kufanya ukarabati wa daraja bovu.

Vipi tumbo la kuhalisha limepoa? Duh. Ntuzu amefufuka leo

Haya bana, hongera.

Leo lete mauchambuzi ya kujiangusha angusha kwa ze bluuuz.

Jukwaa litapata uhai kidogo. Kalou, Root, Enzo, Mfalmenaniiii.... mukuje hapa. Daraja limepakwa rangi.

Nazani umeoina timu jinsi ilivyo imara kila sehemu...... Walete walete Leicester city uone navyowatoa manundu
 
Naenda kumpacha Leicester city tarehe 14....
Unitafute baada ya kumchapa Leicester.
Nini kimekufanya uamini unaweza kuiondoa Leicester kule kileleni?

Mechi hiyo kwa vyovyote itakuwa "tamu".

Timu moja inapigania kuingia 6 bora na ingine inataka kuandika historia.
 
Unitafute baada ya kumchapa Leicester.
Nini kimekufanya uamini unaweza kuiondoa Leicester kule kileleni?

Mechi hiyo kwa vyovyote itakuwa "tamu".

Timu moja inapigania kuingia 6 bora na ingine inataka kuandika historia.

Nipe no zako kabisa za simu nije nikutafute.... Au nikupe zangu? Leicester city ntapiga kipigo cha mbwa mwizi....
 
article-3353138-2F38164400000578-732_636x382.jpg


Hongereni wakuu wa Chelsick kwa ushindi mnono
Khe khe khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
Invisible jitokeze basi
 
Hongereni sana leo mmecheza soka saafi na likely ndiyo itakuwa turning point ya kurudisha confidence ya EPL

Opps mnacheza na nani week hii?
 
Haya ni mapito tu Lakini kwangu Mimi sijafikiria kuhama kushangilia Chelsea pamoja na kipigo kinachotolewa kila kikicha ila Roho inaniuma kinoma!
 

Attachments

  • 1449717285778.jpg
    1449717285778.jpg
    124.9 KB · Views: 173
Unitafute baada ya kumchapa Leicester.
Nini kimekufanya uamini unaweza kuiondoa Leicester kule kileleni?

Mechi hiyo kwa vyovyote itakuwa "tamu".

Timu moja inapigania kuingia 6 bora na ingine inataka kuandika historia.

Wazee wa mieleka...

2F37D5FF00000578-0-image-a-53_1449784903792.jpg

 
...and so, rumors have it that tunatafuta striker mwingine dirisha dogo la Januari...

na waliopendekezwa ni hawa;

2F2EA38500000578-0-Chelsea_continue_to_be_linked_with_Atletico_madrid_s_new_forward-m-49_1449784564323.jpg


Antoinne Griezmann (Atletico Madrid)


2F413A6400000578-0-image-a-57_1449785098839.jpg


Felipe Anderson (Lazio)


2F413A6900000578-0-image-a-58_1449785098841.jpg


Alex Teixeira (Shakhtar Donetsk)
 
Ambao wapo kwenye jicho la Chelsea ila gharama zao zinaweza kuwa kubwa ni...

2F3C77A000000578-0-image-a-39_1449793436399.jpg


Jamie Vardy (Leicester City)


2F14BB8E00000578-0-image-a-53_1449527947212.jpg


Saido Berahino (Westbromwich Albion)
 
mkuu Mentor naona Griezmann yupo poa sana mana hata kumiliki mpira anajua. Tofauti Berahino na Vardy hao wengine sijui wapo vipi mana sijawahi kuwaona wakicheza ...........
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom