Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Eti ule mchepuko wetu leo umeamia kwa kibabu cha mashamba ya minazi kule kisiju.....

Hahahahahahaaaaa, kibabu eeeh?

Vijana wa siku hizi si mnashindia chips mayai na juice ya ukwaju, mkila kuku mnataka yale makuku mataahira, wanaume wanne wanakula kilo mbili za kitimoto na wanashiba?! Wacha vibabu tuwafichie aibu
 
12347795_10153388255343931_2397355325674128677_n.png



Birthday boy, John Terry, was asked to name his Chelsea XI of all-time.
 
Asee niaje bwana mdogo?

Naona team yenu tu ndio iko mukide, mnaweza mkavunja ule mwiko wa kutetea taji kubwa la Ulaya
haswaaaaaaaaa hapo ndipo ninapokukubaligi ila umejuaje kama umenipita miaka??
 
Ferguson on Mourinho: "I think he will I think he will find a solution and I think you will get back to normal, which is not looking great at the moment, but I know the guy and I know the work he has done in football and I can't see it lasting long, I can't see it." ‪#‎CFC‬
 
Ivanovic naona kiwango kimeporomoka sana kwa sasa ila ukipima kwa muda wote alioichezea tha bluz anastahili kuwamo ni vigumu sana kupanga kikosi cha muda wote cha chelsea wachezaji wengi sana wenye viwango vya hatari wamepita hapa kwangu naona hapo kwa Carvalho angeingia Desaily.
 
2F1D88FF00000578-3348338-The_floods_have_left_Carlisle_s_stadium_Brunton_Park_under_water-a-1_1449475179397.jpg


Habari ambazo hazijathibitishwa zinachema Cowshed imejaa maji kutokana na gharika la mvua na upepo mkali wa weekend ulioambatana na mvua , Mentor i n g I d i o t s unaweza kuthibitisha au mungiki brother ... ... ..
Khe khe khe khe khe khe khe he khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
 
Chelsea

One win in August, One win in September, One win in October.

Chelsea's wins are coming once a month like the menstrual cycle. 😂😂😂🚶🏻🚶🏻🚶🏻🚶🏻

Aiseeeee.....
 
2F1D88FF00000578-3348338-The_floods_have_left_Carlisle_s_stadium_Brunton_Park_under_water-a-1_1449475179397.jpg


Habari ambazo hazijathibitishwa zinachema Cowshed imejaa maji kutokana na gharika la mvua na upepo mkali wa weekend ulioambatana na mvua , Mentor i n g I d i o t s unaweza kuthibitisha au mungiki brother ... ... ..
Khe khe khe khe khe khe khe he khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee

Jibambe...
 
Morinho jamani ni wa msimu mmoja tu.halafu anakimbia .akijaribu kukaa anaanza kuharibu
 
Asante sn Mkuu....

Hii ni hatari Mkuu.... Lkn kwa upande mmoja timu kubwa zimekua na matokeo mabaya sn msimu huu sijui kwanini?
Timu kubwa zipi hizo Ntuzu?
Mimi na wewe tunaangalia Epl table tofauti nini?

Naomba unitajie majina ya hizo timu kubwa.

Ukiweka majina ya timu kubwa kama utakuwa na ujasiri , nitaamua aina ya kucheka kama ni teh tehh, ha haaah , kwikwiiii kwiii au Nicheke mie, Khe , khe kheeeeee
 
Hili jukwaa limekuwa la Love Connect please Invisible njoo ufute hii thread🙁🙁
Mkuu wasamehe tu , vichapo mfululizo vinastahiki kuzimuliwa kidogo ili kumuondolea stress Mkaazi wa Daraja bovu. Na hizo mdada zishukuriwe vinginevyo sijui kama Ndugu zetu hawa Ntuzu, Kalou , Mentor, Ma..umbu, kama wangekuwa hai. Imeripotiwa wako wa Ze blauz waliojinyoga kwa kutohimili kichapo juu ya kichapo, wiki ndani wiki nje.
Wengine wamelazwa zahanati na hospitali kwa matatizo ya stress na pressure.

Tuwape pole na kuwafariji. Wengine unaona tayari wanajipa matumaini ya Jaruari, siku zinasonga mbele.

Ze Yokohama wakifaulu mtihani wa tarehe 14 basi wataweza kuishia kwenye 6 bora. Pia nategemea Ntuzu na bandugu zake wataanza kuchambua soka badala ya mapenzi-mahaba.
 
BREAKING NEWS... FA imetoa sheria maalumu za kuinusuru chelsea isishuke daraja...

1) chelsea wameruhusiwa kucheza 12 wakiwa nyumbani na 15 wakiwa ugenini....

2) kama watapata kona 2 mfululizo hiyo itakuwa penati....

3) kila mechi wamepewa nafasi 13 za kufanya sub ili mambo yaende sawa....

4) ikitokea mchezaji wa chelsea amefanyiwa faulo watazawadiwa penalt hatakama faulo hiyo atachezewa kipa wa chelsea....

5) kocha jose morinho amepewa uhuru wa kutoa maelekezo mpaka ndani ya kiwanja wakati mechi inaendelea...

6) wakifunga goli wakiwa ugenini yatahesabika mawili.... Masharti hayo yalianza jumamosi lakini kwa masikitiko makubwa wakapoteza mechi kwa 1-0
 
BREAKING NEWS... FA imetoa sheria maalumu za kuinusuru chelsea isishuke daraja...

1) chelsea wameruhusiwa kucheza 12 wakiwa nyumbani na 15 wakiwa ugenini....

2) kama watapata kona 2 mfululizo hiyo itakuwa penati....

3) kila mechi wamepewa nafasi 13 za kufanya sub ili mambo yaende sawa....

4) ikitokea mchezaji wa chelsea amefanyiwa faulo watazawadiwa penalt hatakama faulo hiyo atachezewa kipa wa chelsea....

5) kocha jose morinho amepewa uhuru wa kutoa maelekezo mpaka ndani ya kiwanja wakati mechi inaendelea...

6) wakifunga goli wakiwa ugenini yatahesabika mawili.... Masharti hayo yalianza jumamosi lakini kwa masikitiko makubwa wakapoteza mechi kwa 1-0

:what:😱😀😀😀
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom