Hahahahahaha nimekuja darling, Ntuzu tafadhali pokea castle bariiidiiii hii imebarikiwa itakuwa kama ile ya harusi ya kana..... :beer::beer::
Manumbu unasalimiwa sana na shemejio
What the name?????? Yani we unanigusa kumoyo kabisa.... Acha hizo chari wangu.....
Pole sana jamaa yangu, najua ng'ombe hata akonde vipi hawezi kufanana na mbuzi ila huyu wenu huyu atahitaji malisho na virutubisho vya maana sana January
Utaelewa tu......halafu panda hapo juu nenda kwenye kitufe cha like click hapo wacha kunibania like,mi ndo mama yako muke ya Mourinho usimuonee wivu baba yako....lol
Wewe Wacha kunivunjia ndoa yangu tafadhali,wale wote ni shemeji zangu.......Hata wewe ni Shem wangu na mwanangu pia.....
Kuna haja ya kuutangazia umma walijue penzi letu, naona vijana wa JF wanachezea sharubu za Simba
Kwahiyo unaweza kuniita shemmtoto....?
Kweli nimeamini ile kufundishana lugha ya kiburuda imezaa ndoa..... Fonza Juve 😀😀😀