Ntuzu
JF-Expert Member
- Aug 8, 2013
- 17,418
- 10,877
Yes shembaby......
Hahahahaaaa shembaby nimeipenda sn hiyo.... Ngoja nijiandae kuzima taa!
Yes shembaby......
Sasa ukimchezea sharubu Simba si anasinzia?
Fonza Chelsea...
Hahahahaaaa shembaby nimeipenda sn hiyo.... Ngoja nijiandae kuzima taa!
Kabisa sweet tuweke hadharani Ntuzu siyo mtu mzuri anataka atuvuruge......ashindweeeeeeeer!!!!@
Acha masihara daddy wako atakukill yooooooo!!!!!
#GrandedarlingMourinho
Sweet twende zetu tukapumzike faraja tulizompa Ntuzu na wana Chelsea zinatosha kwa leo.....
#GrandedarlingMourinho
Sweet twende zetu tukapumzike faraja tulizompa Ntuzu na wana Chelsea zinatosha kwa leo.....
Teh teh teh teh yani kwangu wewe hutoki asilani.... Hicho kibabu Mourinho kitakupa nine km sio shamba la minazi pale kisiju? Au mamito siku hizi umeshakua mkwezi wa minazi?
Teh teh utakua mpole tu mi ni Ngosha atiii.
Shembaby navyokupendaga mpk napata shambulio la moyo......
Ngosha my foot
Stress zitakuua mwaka huu
"ukimuona ngedere mjini ujue ana wake"
Utaelewa tu......halafu panda hapo juu nenda kwenye kitufe cha like click hapo wacha kunibania like,mi ndo mama yako muke ya Mourinho usimuonee wivu baba yako....lol
Wewe Wacha kunivunjia ndoa yangu tafadhali,wale wote ni shemeji zangu.......Hata wewe ni Shem wangu na mwanangu pia.....
Kuna haja ya kuutangazia umma walijue penzi letu, naona vijana wa JF wanachezea sharubu za Simba
Kwahiyo unaweza kuniita shemmtoto....?
Yes shembaby......
Hahahahaaaa shembaby nimeipenda sn hiyo.... Ngoja nijiandae kuzima taa!
Kabisa sweet tuweke hadharani Ntuzu siyo mtu mzuri anataka atuvuruge......ashindweeeeeeeer!!!!@
Namuomba hili jukwaa lihamie jukwaa la mahusiano
Namuomba hili jukwaa lihamie jukwaa la mahusiano
Acha wivu weye mutoto ya MSN.....leo una MB za kutosha......
Ukiniita tu lile jina 15 unakula mbata.
Ha ha ha ha ha ha ha ngoja nikupe malike kibaooo
Eti ule mchepuko wetu leo umeamia kwa kibabu cha mashamba ya minazi kule kisiju.....
Ha ha ha ha ha ha KISIJULIKANE