We kweli unawasanifu wenzio, leo hii Chelsea kuchukua Point moja unasema ni ahueni wakati unajua kabisa hali aliyonayo ktk ligi!!!hongereni wadau, point moja si haba
We kweli unawasanifu wenzio, leo hii Chelsea kuchukua Point moja unasema ni ahueni wakati unajua kabisa hali aliyonayo ktk ligi!!!hongereni wadau, point moja si haba
Chelsea hii ingepangwa na Bayern kwenye robo ya UEFA sijui ingekuwaje, naombea iwe ktk kiwango hikihiki mpaka hatua ya Robo UEFA au mtoano kama akifika ili achapwe vizuri.Kweli nimeamini kila kitabu na zama zake yaani Chelsea anakipiga na spurs uzi umepoa hivi?
Yokohama inataka kombe la CL tu msimu huu. Hiyo ndio imepelekea kuelekeza nguvu kwa kifunga Makapi ya wavivu bao 4 kwao.Chelsea hii ingepangwa na Bayern kwenye robo ya UEFA sijui ingekuwaje, naombea iwe ktk kiwango hikihiki mpaka hatua ya Robo UEFA au mtoano kama akifika ili achapwe vizuri.
Wenye Jukwaa wamekuwa ni kama kuku walinyeshewa na ile maji inatoka kwa mawingu.
Link https://www.jamiiforums.com/sports/20023-the-chelsea-fc-thread-1508.html#post14742868
Diego Costa: Jose Mourinho plays down bib incident with striker
Jose Mourinho says there is "no issue" with Diego Costa after leaving the striker on the bench against Tottenham.
Costa was dropped after netting just one goal in his last eight Chelsea matches and reacted angrily by tossing his substitute's bib at Mourinho.
But Blues boss Mourinho said: "For me his behaviour is normal. A top player on the bench will not be happy.
"If he wants to hurt me it would not be with a bib. I have a good relationship with him."
BBC Sport - Diego Costa: Jose Mourinho plays down bib incident with striker
Huyu jamaa alisema wakati Mou anarudi tena Darajani kuwa kipindi cha pili hakitakuwa na mafanikio kama kipindi cha mwanzo cha Mou. Wakati huo Gullit alikuwa anafundisha soka Qatar. Watu zingine, Ntuzu et al bila shaka walijisemea, "Jamaa ana wivu."
BBC Sport - Chelsea: Diego Costa can still react positively - Ruud Gullit
Yokohama ije iazime Pombe wa Magufuli kwa kipindi cha msimu kilichobakia.
Kitu yote iko hapa: Link Diego Costa throws bib at Jose Mourinho: See John Obi Mikel's hilarious reaction | Football | Sport | London Evening Standard
Costa alishanukuliwa akisema yeye si malaika , na Mou alikubali hilo, "Costa is doing his job the way he should"
Mourinho publicly defended Costa after the game, calling him the "man of the match" and suggesting that those who had a problem with it "probably played badminton" as kids. The Chelsea manager was doing the public part of his job and sticking up for his guy, but in private, you can be sure that he's not happy at all and that he's looking to figure out a way to deal with his player.
Jose Mourinhos Diego Costa challenge - ESPN FC
Wenye Jukwaa wamekuwa ni kama kuku walinyeshewa na ile maji inatoka kwa mawingu.
Hava hivyo zipo habari zinasema Dr. Eva amewatumia "Viagra" wachezaji wa Chelsea ili kurudisha kiwango. Hiyo ni habari njema kwa Ntuzu, Mentor, Enzo, na yule Mfalmeasiyemwerevu.
Link Diego Costas goalless performance not what José Mourinho needed | Football | The Guardian
Link2. Tony Cascarino says Jose Mourinho was right to drop Diego Costa | Football News | Sky Sports
Hahhahahahha na awatumie tu maana Hamna namna.....
Costa aendelee Kula bench tu,boss anasema kwanza anabahati yeye ndo amechelewa Kula bench,sasa tutamuona baba yake Ntuzu Mou ataendelea kumlisha Benchi au atamtoa.........aendelee kuyala tu maneno yake ahahahahaha.
Ed n Edd nEddy Hhahahhahaha hiyo inaitwa bebiiii you are my number one.......
My baby sikuchumu tena........
Hahhahaha sasa utamchumu nani usiponichumu mimi,poyeeeeeeeee japo ni ukweli mchungu.
Nipo pouwa kabisa.....
Hahahhahahahah u missed the old good days......poyeeeeee, best nimetingwa sana na kazi tu halafu siku hizi mnafungwa sana basi shamrashamra humu zinapungua na kuna kuwa bored si unajua tena raha kusagiana sumu.