Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Walikuwa wanachungulia tu aka walikuwa bizee!. Muda si mrefu utawaona. Kalou kuja huku mgonjwa wenu amepewa Aspirin leo na amepata nafuu.

Ntuzu mkaazi wa daraja bovu uko pouwa leo?

Nonda mi nipo myala.... Jf ilikua haipatikani sijui ilikua imekumbwa na vitu gani.....
 
Nonda mi nipo myala.... Jf ilikua haipatikani sijui ilikua imekumbwa na vitu gani.....
Walikuwa wanadhibiti na kupunguza joto la wadanganyika na vichwa vya wendawazimu lilitokana na uwezeshaji wa Tume ya kula kwa hapanakazi tu.

Sisi turudi kwenye spoti kupunguza stress za kuibiwa kula.

Leo umeachiwa upumue, urudi kwenye uchambuzi wa soka baada ya vipigo juu ya vipigo.
Umeona Post match interview ya Mou? Alikuwa na heshima leo.
 
Walikuwa wanadhibiti na kupunguza joto la wadanganyika na vichwa vya wendawazimu lilitokana na uwezeshaji wa Tume ya kula kwa hapanakazi tu.

Sisi turudi kwenye spoti kupunguza stress za kuibiwa kula.

Leo umeachiwa upumue, urudi kwenye uchambuzi wa soka baada ya vipigo juu ya vipigo.
Umeona Post match interview ya Mou? Alikuwa na heshima leo.

Hahahahaaaa Nonda bhana...
 
LVG ana three year contract, ikiisha anaondoka yuko mwaka wa pili sasa. Hana jipya huyu jamaa anadumaza wachezaji tu.

WHAAAT!?????

I thought kawafufua kina Young na Fellaini...
I thot kanunua watoto wazuri...Martial Rojo Blind et al...

Sikuelewi bro.
 
I like Mourinho...better than any coach currently in the EPL.
And so pamoja na kwamba kuna nyakati huwa simuelewi/sielewi selections zake...I still support him. Yeye ndo yuko na wachezaji training na anaongea nao...sisi kazi yetu mdomo tu.

NB: hii haimaanishi namsamehe kumpanga Zouma right back defence.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom