Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Na nyie kwani hamjui tuko kwenye uchaguzi...umekuja wakati muafaka sana! Sirudi huku hadi tumwapishe raisi...
 
Na nyie kwani hamjui tuko kwenye uchaguzi...umekuja wakati muafaka sana! Sirudi huku hadi tumwapishe raisi...

Blues have won just one of their last seven matches in all competitions and adds to the growing pressure on Mourinho.
 
Je hili linawezekana kama tukipokea kipigo kingine kwa Liverpool?

[h=1]Guus Hiddink coy on Chelsea links amid Jose Mourinho doubts - [/h]
 
Je hili linawezekana kama tukipokea kipigo kingine kwa Liverpool?

[h=1]Guus Hiddink coy on Chelsea links amid Jose Mourinho doubts - [/h]

Guus Hiddink hawezi kuwa na ushindani na soka la sasa, ushahidi tu ni timu ya taifa aliyopewa akataga, kocha pekee mwenye sifa ya kumrithi mourinho ni Gadiola, zaidi ya hapo hakuna, bora aendelee tu huyohuyo tutachanganyia mbele kwa mbele
 
Chelsea this season: -
1 win in August.
1 win in September.
1 win in October.
That's what you call consistency
 
Wakaanga sumu na wale wote wanaopita kuchangamsha jukwaa hili baada ya wenyewe kulisusia nashindwa kugonga "like" kwa sababu Mods wamechakachua kitufe cha "like". Inawekana wamekipeleka Tume ya uchaguzi ili kuongezea "kula" huko kwa wagombea wao.

Hapa kamateni"like" kwa mpigo na wekeni kwenye kapu lenu.

Uchaguzi mkuu ukiisha "chafuliwa" huenda mods wataturudishia kitufe cha "like".

Ninamtangazieni kipigo kwa Ze bluuz kitakachotolewa na Majogoo ya "Mafalemafyale" hivi karibuni.
 
Na nyie kwani hamjui tuko kwenye uchaguzi...umekuja wakati muafaka sana! Sirudi huku hadi tumwapishe raisi...
Raisi wa NEC au Raisi wa wananchi? Haya bana.

Chelsea manager Jose Mourinho says his "life is fantastic" despite his side'sCapital One Cup exit on penalties at Stoke.
The Blues boss claims their display in the penalty shootout defeat, after a 1-1 draw, was enough to rubbish claims his players were not playing for him.
Chelsea were beaten 5-4 on penalties in the fourth-round tie after forcing extra-time through Loic Remy's injury-time equaliser.

http://www.bbc.com/sport/0/football/34656057

 
Raisi wa NEC au Raisi wa wananchi? Haya bana.

Chelsea manager Jose Mourinho says his "life is fantastic" despite his side'sCapital One Cup exit on penalties at Stoke.
The Blues boss claims their display in the penalty shootout defeat, after a 1-1 draw, was enough to rubbish claims his players were not playing for him.
Chelsea were beaten 5-4 on penalties in the fourth-round tie after forcing extra-time through Loic Remy's injury-time equaliser.

http://www.bbc.com/sport/0/football/34656057


Msiwe mnamuuliza Jos? maswali mkifanya hivyo majibu ya shombo yanawahusu. Jibu kuhusu kuumia kwa Costa linawafaa sn wakaanga sumu
 
Hivi ni ENZO kweli aliyeandika "bai bai Mou"?

Dogo ameanza kunywa pombe?:crazy:

Au uzalendo umemshinda?

Hivi hakuwa Enzo alimwita Root, shabiki maandazi, shabiki asiyejitambua?

Ipo zile bandugu Ntuzu na Kalou zimekuwa kama piriton.

Ze bluuz imepata ile kitu inaitwa kwashiorkor na Mou amejigeuza comedian.

utaongea yoteeee.......... ndio wakati wako huu!' tukibeba kombe usitoweke kama msimu uliopita.

inashabikia timu gani vile?!
 
2DE7171000000578-0-Chelsea_boss_Jose_Mourinho_comes_in_for_criticism_in_L_Equipe_af-a-21_1446112866897.jpg


Khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
 
Pedro has told friends that he regrets
moving to Chelsea & would be happy to
return to Barca this summer [fichajes]

hahahahaaa, nasikia na ronaldo wenu kamuomba wakala wake aangalie uwezekano wa kumtafutia nafasi pale Santiago
 
utaongea yoteeee.......... ndio wakati wako huu!' tukibeba kombe usitoweke kama msimu uliopita.

inashabikia timu gani vile?!
Wewe unakula bange au unakunywa sigara?

Kombe gani utabeba msimu huu, ngao imekwenda, kikombe cha mbuzi kimeota mbawa, EPL mko taabani, CL mnasuasua dalili ni kuwa hamtopita.
Kocha wenu ambaye wengine wanamwita mbwa na wengine wameshamuaga kwa bai bai ana medeni kwa FA na ugomvi na waandishi wa habari huku akindamwa na laana ya EVA mke wa Adamu.

Enzo, umenifurahisha sana leo, angalau nimepunguza maumivu yaliyosababishwa na NEC.

WestHam, Leicester, Crystal Palace, nk
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom