Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Bora udomo kaya kuliko Domo Zege
Vipi umeona jana ze bluuzz walivyoonesha " unstable attitude" ?

Did Ze bluuzz pay the price?

Call that domozege!

Maumivu yakizidi, msikilize mpayukaji(ze bluuzz comedian) ili uondoe maumivu.
 
Umekuja na wewe?
Vipi mechi ya jana?

Uliifurahiaaaa? Au uliliaaaa?

Nijuavyo Mentor alifurahi sana, na Enzo, angalia Enzo anavyocheka katika avatar yake, furaha kedekede darajani. daraja la mbao.
 
Siku hizi naona watu wanajisahau hata kufuatilia team zao kisa Akili,Macho na masikio yao wamevielekeza kuifuatilia Chelsea tu!!

Eti fans wa Arsenal na Man u nao wanaicheka Chelsea kufungwa 2-1 jana kwenye UEFA,
Wakati atleast Chelsea kashinda game 1 wewe Arsenal umeliwa mechi 2
Man u omba dua leo ushinde tu leo ili nawe uwe na 3 points kama Chelsea


Hivi wale mliomlaumu Refa mechi ya Arsenal na Chelsea hamkuona kuwa Costa amenyimwa Clear penalty jana kwa mchezaji wa Porto kuunawa mpira kwa makusudi? Naona mmeamua kuwa Mabubu kwa hilo !!
 
Mourinho: "The last minute situation - it
was a clear penalty. But two mistakes
have cost us a game. A game I thought
was fantastic."

Yes the game was fantastic but what was the result Mr.mou?


Yeah! Ni kweli kabisa that was clear 100% penalty
 
Vipi umeona jana ze bluuzz walivyoonesha " unstable attitude" ?

Did Ze bluuzz pay the price?

Call that domozege!

Maumivu yakizidi, msikilize mpayukaji(ze bluuzz comedian) ili uondoe maumivu.

Mkuu naomba kujua team unayo support
Mimi huwa sipati sana time ya kupita humu
Tuanzie hapo kwanza
 
Siku hizi naona watu wanajisahau hata kufuatilia team zao kisa Akili,Macho na masikio yao wamevielekeza kuifuatilia Chelsea tu!!
.......
Hivi wale mliomlaumu Refa mechi ya Arsenal na Chelsea hamkuona kuwa Costa amenyimwa Clear penalty jana kwa mchezaji wa Porto kuunawa mpira kwa makusudi? Naona mmeamua kuwa Mabubu kwa hilo !!
Ukimuuliza Ntuzu atakwambia ushindi ni ushindi tu hata ikiwa kwa goli la nape!
Mmechapwa viboko 2 jana usitafute sababu. Mou anajua tatizo ni "unstable attitude".

Unachoruhusiwa kufanya ni kulia tu kama viboko vimeleta maumivu makali.
 
We mtu unapenda sana taarabu,mwenzio Hadija kopa analipwa kwa mipasho,
Kipaji unacho lakini unakipoteza bure tu!!
Tuunganishe kipaji chako na changu ili tumshinde Kopa. Unasemaje?:A S wink:

Mfalme.....jana haikuwa siku njema kwako, uguza maumivu kwanza na yatakapopungua, andika ukiwa umetulia.

Pole kwa kipigo cha jana.
 
Si chako kwani kuna kosa gani? Timu yako kuna shida gani?
Hutaki ijulikane kuwa ze bluuzz ni dhaifu?

Haihitaji darubini....dogo Enzo pia anajua, chelsea iko chini ya kiwango. Ze bluuz imeanza kuwa timu ya vibabu. JT, Ivano, Yule Mieleka/rugby hooligan nk
 
Kulikua na haja gani ya Ku qoute badala ya kujibu swali unajibu maelezo, swali langu ni " what was the result" au hujaliona hilo???
Kipigo sio mchezo, wanaweweseka tu. Msamehe tu. Macho yake yamepata dhoruba jana, hawezi kuona na kusoma kila kitu kinachoongeza maumivu yake.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom