Naona Ntuzu kaamua kuwa mourinho wa jukwaa, au yule waziri wa ulinzi wa Iraq kipindi Saddam Hussein anatandikwa na wa.marekani
imeshakuwa historia hiyo. mjiandae kurudisha hizo pionts sasa
Jumamosi anafukuzwa kabisa
Arudishiwe nani wakati nyie ni Wateja tu.....
Mourinho alipoondoka mwaka 2007 ni makocha wangapi walipita na kufukuzwa? Ilikuaje tena Abramovich akamuangukia Mourinho na kumwambia arudi tena? Mourinho hawezi kufukuzwa ata km timu ishuke daraja kwa uzembe wa baadhi ya wachezaji.
Hatutukani mamba mmekuwa wabovu sana ndani ya muda mfupi,Nina maswali hapa
1.Mourinho aliahidi kufufua makali ya FailCow,mbona hata bench hakuwepo while yuko fit?
2.Mourinho anafikiria nini kumpanga Ivanovic, na ndio weaklink kwenye defence yenu kila siku ?
3.Why JT anapigwa benchi hadi kwenye game za UEFA, au anataka kumkimbizia Marekani next season?
![]()
I will miss her!!!
Hatutukani mamba mmekuwa wabovu sana ndani ya muda mfupi,Nina maswali hapa
1.Mourinho aliahidi kufufua makali ya FailCow,mbona hata bench hakuwepo while yuko fit?
2.Mourinho anafikiria nini kumpanga Ivanovic, na ndio weaklink kwenye defence yenu kila siku ?
3.Why JT anapigwa benchi hadi kwenye game za UEFA, au anataka kumkimbizia Marekani next season?
Nimekuelewa,
Mi naona sasa Morinho ili kujinusuru na kuinusuru timu atumie ubabe, apige chini hata kikosi cha kwanza chote achukue madogo maana hawa ambao twawategemea ndio wanatuangusha
Kwanini usiulize mbona na Remy hapangwi ata kwenye bench la sub hakuwepo?
Km wewe unaijua Chelsea vzr. Unaweza kuniambia unaona nini unapokua na Azpilicueta Zouma Cahill na Iva ndani huku ukiwaweka Terry na Baba benchi? Mambo mengine msipende kusema Mourinho alipanga kikosi kizuri mpk sub bado kulikuwa na uhai....