Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

1. Tactical decision ya kocha...hata Oscar yuko fit ila hata benchi hakuwepo. Nionavyo mimi kwa kuwa Costa ana local ban na Remy juzi haku-impress vyema...atamtumia Falcao jumamosi kwenye mechi na Southampton. Naamini ndivyo atakavyofanya kwa Oscar.

2. There is something he sees that we don't. Yeye ndo yupo nao mazoezi..day-in-day-out! Sisi tunaona kwenye mechi tu. Let's wait and see.

3. As for JT (labda jibu ndo hilo hilo la Ivanovic). JT hawezi kuondoka Chelsea labda kuje kutokea kitu kingine mbeleni, kwa sasa haondoki. Ingawa naungana mkono na wewe...ningependa arudi tena defence tuone!

Mi nashangaa sn wakaanga sumu wanauliza maswali ya ajabu wakati wanafahamu kua Costa kafungiwa game tatu. Wanataka Falcao na Remy wapangwe tu huku Costa yuko banned..... Wakaanga sumu bhana....

Muacheni Mourinho apange kikosi chake kwa uhai wa timu
 
Swali nimemuuliza Mentor nakujua siku zote huwa hujibu maswali, maswali 3 hujajibu hata moja naona nawe umeongeza maswali mengine mawili

Sijibu kwasababu mnauliza maswali yasio kua na maana. Post yoyote ata km sijaulizwa Mimi nikiikuta hapa naijibu tu.
 
Last edited by a moderator:
uploadfromtaptalk1443591332127.jpg
 
  • Thanks
Reactions: Nzi
Swala sio finances.... Kloop kaiharibu BD. Bd ya leo sio sawa na ile ya mwaka 2011 na 2012.

Kumbuka walikuwa wanauza wachezaji wao wazuri sababu hawakuwa na hela..
Sisi tuna kila kitu ila matokeo unayajua
 
Unanifurahisha bro..unafanana sana na Mourinho!

Wao watafurahi km tukija hapa na kusema kua Chelsea ni mbovu sn.... Tukisema kua Mourinho afukuzwe tu kaishiwa mbinu.... Tukisema timu imekuwa hovyo ata top four haitashika safari hii..... Hapo watafurahi sn....

Chelsea haijafikia hatua hiyo km wao wanavyo zani. Tunaamini tunaweza sn tu na tuko vzr sn.
 
Kumbuka walikuwa wanauza wachezaji wao wazuri sababu hawakuwa na hela..
Sisi tuna kila kitu ila matokeo unayajua

Mourinho kapewa kiasi gani msimu huu za usajili? Au mpk timu ilipofungwa game 3 hivi ndo Abramoney akaachia pesa?

BTW epl imekua ligi ya ushindani sn. Angekua anafungwa Chelsea peke yake hapo ningesema kuna shida. Lkn gunners wanafungwa, City anafungwa tena mpk goli 4 ktk mechi moja tu bado tu utasema unamuhitaji Kloop?
 
1. Tactical decision ya kocha...hata Oscar yuko fit ila hata benchi hakuwepo. Nionavyo mimi kwa kuwa Costa ana local ban na Remy juzi haku-impress vyema...atamtumia Falcao jumamosi kwenye mechi na Southampton. Naamini ndivyo atakavyofanya kwa Oscar.

2. There is something he sees that we don't. Yeye ndo yupo nao mazoezi..day-in-day-out! Sisi tunaona kwenye mechi tu. Let's wait and see.

3. As for JT (labda jibu ndo hilo hilo la Ivanovic). JT hawezi kuondoka Chelsea labda kuje kutokea kitu kingine mbeleni, kwa sasa haondoki. Ingawa naungana mkono na wewe...ningependa arudi tena defence tuone!

1.Oscar ametoka majeruhi i think bado hajawa fit na kwa sasa ndio mchezaji bora wenu so Jose hawezi risk na ukizingatia Costa amefungiwa


3 Kwa umri wake ni dhahiri hana kasi tena so kumpiga bench kwenye EPL ni sahihi lakini sio UEFA,kumbuka Jose alitaka kumsajili Stones Everton wakagoma kama wakimpata/or CB mwingine its obvious JT hatakubali kukaa benchi huenda akafanya kama Stevie G
 
Mourinho ni very smart kujibu maswali na huwa hakwepi swali hata moja

Mbona mwamuita domokaya au mropokaji? Kumbe ni smart eeeeeh? Mnakuja kumsiliba kimtindo lkn ukweli mnaujua kua jamaa ni smart...... Safi sn kwa hilo ndio maana Mimi nampenda kwasababu jamaa yuko smart.
 
Hahaha. Naona Ntuzu umeamua kuitetea timu. Japo bado haiondoi uhalisia kuwa timu ipo vibaya, either kwa uzembe wa wachezaji au kocha mwenyewe.
 
Last edited by a moderator:
Mbona mwamuita domokaya au mropokaji? Kumbe ni smart eeeeeh? Mnakuja kumsiliba kimtindo lkn ukweli mnaujua kua jamaa ni smart...... Safi sn kwa hilo ndio maana Mimi nampenda kwasababu jamaa yuko smart.

Jose huwa hakwepi kujibu swali kama wewe
 
Ntuzu twakosea sana kutetea na kuona kila kitu kiko sawa na kujilinganisha na wengine... sisi ni Chelsea chelsea haipaswi shindwa ovyo afu tutetee eti na timu zingine zafungwa pia
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom