Asmir Begović; Ivanovic (c), Kurt Zouma, Gary Cahill, Cesar Azpilicueta; Mikel; Ramires, Pedro, Cesc Fàbregas, Willian; Diego Costa.
Subs: Blackman, Baba Abdul-Rahman, Terry, Matic, Ruben Loftus-Cheek,Eden Hazard, Kenedy.
kwisha habari yao. wazee wa mbeleko chaliMfunge tuu jaman...
Kila siku mnafungwa tuu? Hadi sion raha kuangalia mech yenu maana mtu unaangalia huku unajua matokeo tayar kuwa mwisho wa siku lazm mfungwe hivyo hainogi
Mbona umekimbia kutoa update ?
Next game Stamford Bridge
Chelsea VS Southampton
kwisha habari yao. wazee wa mbeleko chali
Soton ndio timu gani?
Mtasema yote lkn points 6 zetu lazima mtupe tu.
sio kwa man united wewe
imeshakuwa historia hiyo. mjiandae kurudisha hizo pionts sasaTulichukua points 4 kwa Manu msimu uliopita na safari hii tunachukua 6.
chelsea wanaimarika na mwaka huu watabeba uefa na kuushangaza ulimwengu kumbuka tunahistoria hiyo
Nampeni hongera kwa kuepuka kipigo cha nguvu. Domokaya alishatoa sababu ya kushindwa leo. Alishasema mtu zake zimepunguza kufanya mazoezi ya mieleka ya nguvu.Soton ndio timu gani?
Mtasema yote lkn points 6 zetu lazima mtupe tu.
Kuna mdau amejaribu kutoa dukuduku lake hapa:Msipe nafasi ya kuongea na waandishi wa habari au msimuulize maswali ya kizushi maana akiwajibu mnamuona mropokaji au cha domo.