Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Wapi?? Nafasi ya 15??!!!

kuongoza ligi mnaongeeeea mnaona kama mmeshachukua ubingwa!' ila ndio wakati wenu huu mkishaanza kurudi kwenye nafasi zenu hamtaweza kuongea ............. hivi kwa mawazo yenu timu ya vibabu ile itachukua ubingwa??!
 
Teh teh teh subirini muone Falcao atakavyo kua moto.... Nyie si mlishindwa kumtumia?!! Tulieni.....

No Oscar,Remy,Fail Cow on Chelsea squad.Matic,Hazard and JT start on bench .Naona Jose anataka kumfanya JT nae akimbilia Marekani mapema
 
kuongoza ligi mnaongeeeea mnaona kama mmeshachukua ubingwa!' ila ndio wakati wenu huu mkishaanza kurudi kwenye nafasi zenu hamtaweza kuongea ............. hivi kwa mawazo yenu timu ya vibabu ile itachukua ubingwa??!

Mbona vibabu Cech,Drogba,JT,Ivanovic,Cahill,Costa vilichukua
 
No Oscar,Remy,Fail Cow on Chelsea squad.Matic,Hazard and JT start on bench .Naona Jose anataka kumfanya JT nae akimbilia Marekani mapema

Teh teh teh teh...... Tulieni muone burudani leo.... Umeona lineup ya Chelsea ilivyosimama? Iko pouwa vibaya.....
 
Teh teh teh teh...... Tulieni muone burudani leo.... Umeona lineup ya Chelsea ilivyosimama? Iko pouwa vibaya.....

Ndio hiyo hiyo iko nafasi ya 15,
Why Jose hawachezeshi JT na Remy ?
 
Teh teh teh kwanini LvG hampangi Bastian kila game?

Mechi ipi hajampanga? Jose alisema atafufua kiwango cha Failcow naona hata kwenye squad hayupo na sio majeruhi.It looks jamaa anataka kumuondoa JT ,mwanzo nilidhani atakuwa anacheza UEFA huku nako benchi
 
Mechi ipi hajampanga? Jose alisema atafufua kiwango cha Failcow naona hata kwenye squad hayupo na sio majeruhi.It looks jamaa anataka kumuondoa JT ,mwanzo nilidhani atakuwa anacheza UEFA huku nako benchi

Teh teh teh Belo Mourinho karudi home leo....

Tulia uangalie mtanange Mkuu.
 
Last edited by a moderator:
Wakaanga sumu mnasubiri mpk tufungwe ndio mpite humu? Najua kiwango cha Chelsea kimewatisha huko mliko mna mawazo sn maana Chelsea iko gado vibaya.
 
uingereza kama bongo..
 

Attachments

  • 1443555880376.jpg
    1443555880376.jpg
    29.7 KB · Views: 124
Wakaanga sumu mnasubiri mpk tufungwe ndio mpite humu? Najua kiwango cha Chelsea kimewatisha huko mliko mna mawazo sn maana Chelsea iko gado vibaya.

Ntuzu bhana
Kufungwa must
Draw ni bahati
Kushinda no muujiza
 
Kulianzisha ngoja mpigwe na kina cute b waje kuzodoa kijiwe chako
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom