![]()
Katika watu sipendi wacheze leo..ni Pedro!!! Heri hata Falcao acheze...alikuwepo mara ya mwisho tunakutana na Porto kwenye Champions League ambapo tuliibuka kidedea kwa goli la Anelka (47')...mwaka 2009 kama sikosei!
Kwanini hutaki Pedro acheze?? Nilikuwa nasubiri kwa hamu nione ambacho Mourinho kakiona au atakifanya na Falcao ambacho LVG ameshindwa,so far nehi!
Teh teh teh subirini muone Falcao atakavyo kua moto.... Nyie si mlishindwa kumtumia?!! Tulieni.....
Teh teh teh subirini muone Falcao atakavyo kua moto.... Nyie si mlishindwa kumtumia?!! Tulieni.....
Kwanini hutaki Pedro acheze?? Nilikuwa nasubiri kwa hamu nione ambacho Mourinho kakiona au atakifanya na Falcao ambacho LVG ameshindwa,so far nehi!
Teh teh teh subirini muone Falcao atakavyo kua moto.... Nyie si mlishindwa kumtumia?!! Tulieni.....
Lini ataanza kuwa moto,au kipindi ambacho Mourinho atakuwa kashafukuzwa ?
Kuna mwenzio hapo juu kashaanza kusema hataki Pedro acheze wakati alikuwa wa kwanza kurusha vikatuni vya Man Utd kumkosa Pedro!
Wachezaji woooote walioko hapo Chelsea ni wazuri na wanaweza sn ndio maana wako hapo.
Wapi?? Nafasi ya 15??!!!
Wapi?? Nafasi ya 15??!!!
Sisi ndio mabingwa wa epl na msimu huu tunakua mabingwa tena au tayari nyie mmeshakua mabingwa?
LvG ana points 6 za José Mourinho na keshokutwa Mnapigwa na Arsenal bado tu kwa hayo mahesabu mtakua nafasi ya kwanza tu?
I love chelsea