Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Mtafanya assessment kuanzia wachezaji, kocha, benchi la ufundi, madaktari, wapishi ball boys hadi mashabiki kwamba hawana amsha amsha ila ukweli haujifichi timu yenu ni mboovu, washukuruni arsenal kwa kuwapa point tatu lasivo hali ingekua tete zaidi, BTW hongereni mmejitahidi mpo point moja juu ya Bournemouth.

Tunakutana lini na wewe? Tusiongee sn.....
 
Pitia hii link Eva Carneiro evidence submitted to FA over Mourinho comments - ESPN FC
Hii pia. Eva Carneiro leaving Chelsea shames Jose Mourinho - and is a dark day for football - Telegraph
Pressure is mounting on Jose Mourinho after more evidence was handed to the Football Association arguing he was sexist towards his former doctor Eva Carneiro.
Video footage and a letter have been sent to the football authorities indicating that Mourinho specifically targeted Carneiro — who quit the club on Tuesday — in his verbal touchline volley during Chelsea’s match against Swansea last month.
An emailed complaint from a member of the public was already being investigated by the FA, claiming that the Chelsea boss called Carneiro ‘filha da puta’ which means ‘daughter of a -----’ in Portuguese. He faces a minimum five-match ban if found guilty.

Women in Football feel that, even if the FA decide Mourinho did not use sexist language, he is still in breach of rule E3(1) for using indecent language and bringing the game into disrepute.
The FA invoked the rule last season when they fined the Chelsea boss £25,000 for claiming there was a ‘campaign’ against his team. Chair Anna Kessel said: ‘We’ll be extremely surprised if there is no charge at all.’
Eva Carneiro row escalates for Chelsea boss Jose Mourinho as FA receive more evidence of alleged sexism | Daily Mail Online




Hakuna jipya kwasababu twajua yote vzr yanayoendelea....... Tunasubiri maamuzi ya FA....
 
na hiyo week end nayo nahisi itazidi chafua hali ya hewa umu maana hawa SOTON wanaokuja hapo darajani mjipange mcheze mieleka kweli kweli
 
Mimi sio shabiki wa Chelsea. Ila huwanapenda tu majibu ya Jose Mourinho anapohojiwa.

Mtu mmoja kupitia matokeo ya jana Newcastle United vs Chelsea yaliyoishia kwa matokeo 2-2, ametabiri hivi:

2013: Newcastle 2-0 Chelsea
2014: Newcastle 2-1 Chelsea
2015: Newcastle 2-2 Chelsea
2016: Newcastle 2-3 Chelsea
Next year we (you) win it for sure
 
Nauliza line tunakutana Mimi na wewe? Kwasababu hizo appearances za Mata hazijafanyika kwa Mou tu.

Pale chelsea inapokaribia kuchukua ubingwa na man utd kushuka daraja
 

Attachments

  • 1443348038273.jpg
    1443348038273.jpg
    31.8 KB · Views: 81
Nauliza line tunakutana Mimi na wewe? Kwasababu hizo appearances za Mata hazijafanyika kwa Mou tu.

Unaweweseka hakuna alimtaja Mourinho ,ametajwa Mata,Chelsea,Man United,mechi alizocheza na magoli aliyofunga
 
Unaweweseka hakuna alimtaja Mourinho ,ametajwa Mata,Chelsea,Man United,mechi alizocheza na magoli aliyofunga

Okay km hoja ni kutajwa kwa Mata, mbona swali langu jepesi tu hamtaki kujibu mnaleta habari za Mata? Mnadai Chelsea ni wabovu. Nasema okay. Ili kujua Chelsea ni mbovu lini tunakutana na nyie tuwaoneshe ubovu wetu?
 
Okay km hoja ni kutajwa kwa Mata, mbona swali langu jepesi tu hamtaki kujibu mnaleta habari za Mata? Mnadai Chelsea ni wabovu. Nasema okay. Ili kujua Chelsea ni mbovu lini tunakutana na nyie tuwaoneshe ubovu wetu?

Kushika nafasi ya 15 kwenye msimamo, kushinda mechi mbili kati ya 7 kwenye ligi, kufungwa magoli 10+ kwenye mechi sita, hivyo ni vigezo tosha kwamba timu yako ni mbovu, bila kusahau kuweweseka kwa kocha wako baada ya matokeo yanayoendana na timu yako ni ishara tosha kwamba kaishiwa,
Leo hujui hata ratiba ya timu yako unakuja kuulizia jukwaani?
 
Kushika nafasi ya 15 kwenye msimamo, kushinda mechi mbili kati ya 7 kwenye ligi, kufungwa magoli 10+ kwenye mechi sita, hivyo ni vigezo tosha kwamba timu yako ni mbovu, bila kusahau kuweweseka kwa kocha wako baada ya matokeo yanayoendana na timu yako ni ishara tosha kwamba kaishiwa,
Leo hujui hata ratiba ya timu yako unakuja kuulizia jukwaani?

Teh teh teh

Man city kafungwa goli 6 ktk mechi mbili za epl naye tuseme ni timu mbovu? Maana goli 10 ktk mechi 7 ni nafuu sn kuliko goli 6 kwa mechi mbili!

Km ingekuwa ni mwezi April kwa haya matokeo ambayo Chelsea imepata ningesema kuna shida. Lkn ndo kwanza mwezi wa Tisa???????!!!!!!!! Unaweza kunipa matokeo ya timu yako ktk mechi 4 zilizopita za ligi zote uefa na capital one na epl tuone nani kapoteza? Je, timu yangu ni mbovu tu au vipi?
Ni naifahamu ratiba ya mechi zangu zote ata km nikiwa nimesahau simu yangu kila game ya Chelsea inanipa notification na updates zote.... Nachotaka hiyo siku tuone km timu yangu ni mbovu au vipi maana tusiongee sn.
 
Teh teh teh

Man city kafungwa goli 6 ktk mechi mbili za epl naye tuseme ni timu mbovu? Maana goli 10 ktk mechi 7 ni nafuu sn kuliko goli 6 kwa mechi mbili!

Km ingekuwa ni mwezi April kwa haya matokeo ambayo Chelsea imepata ningesema kuna shida. Lkn ndo kwanza mwezi wa Tisa???????!!!!!!!! Unaweza kunipa matokeo ya timu yako ktk mechi 4 zilizopita za ligi zote uefa na capital one na epl tuone nani kapoteza? Je, timu yangu ni mbovu tu au vipi?
Ni naifahamu ratiba ya mechi zangu zote ata km nikiwa nimesahau simu yangu kila game ya Chelsea inanipa notification na updates zote.... Nachotaka hiyo siku tuone km timu yangu ni mbovu au vipi maana tusiongee sn.

Mechi tano zilizopita za utd,

Utd 3-1 livapuli
PSV 2-1 utd
Soton 2-3 utd
Utd 3 -0 Ipswich
Utd 3-0 Sunderland
Tumefunga jumla ya goli 13 tumeruhusu 5 goal difference ni +8.
 
Mechi tano zilizopita za utd,

Utd 3-1 livapuli
PSV 2-1 utd
Soton 2-3 utd
Utd 3 -0 Ipswich
Utd 3-0 Sunderland
Tumefunga jumla ya goli 13 tumeruhusu 5 goal difference ni +8.

Okay na za Chelsea 5 zipange hapa km ulivyopanga zako
 
Teh teh teh

Man city kafungwa goli 6 ktk mechi mbili za epl naye tuseme ni timu mbovu? Maana goli 10 ktk mechi 7 ni nafuu sn kuliko goli 6 kwa mechi mbili!

Km ingekuwa ni mwezi April kwa haya matokeo ambayo Chelsea imepata ningesema kuna shida. Lkn ndo kwanza mwezi wa Tisa???????!!!!!!!! Unaweza kunipa matokeo ya timu yako ktk mechi 4 zilizopita za ligi zote uefa na capital one na epl tuone nani kapoteza? Je, timu yangu ni mbovu tu au vipi?
Ni naifahamu ratiba ya mechi zangu zote ata km nikiwa nimesahau simu yangu kila game ya Chelsea inanipa notification na updates zote.... Nachotaka hiyo siku tuone km timu yangu ni mbovu au vipi maana tusiongee sn.

Kwenye EPL mmeshafungwa magoli 14 na mmefunga 11,goal difference ni negative,hii ni standard ya Chelsea kabla ya Abramovic
 
Kwenye EPL mmeshafungwa magoli 14 na mmefunga 11,goal difference ni negative,hii ni standard ya Chelsea kabla ya Abramovic

Teh teh teh teh naona mnakuja na majibu tofauti tofauti tu..... Msiwe km ccm wasio kua na majibu ktk kila swala......
 
Mashabiki Wa chelpenati, chelrinho wabishi kama wale masalia waliotaka kwenda Ulaya kuhubiri, timu lao bovu, linategemea mpira wa mbinu chafu

Kama ni mbinu chafu basi chama cha mpira cha FA kingetupa adhabu lkn kwa makelele yenu nyie hayatusumbui.
 
Okay na za Chelsea 5 zipange hapa km ulivyopanga zako

Dah, kaka angu hii timu inakupa stress wewe, yaani Mimi nianze tena kukupa matokeo yenu nyie, badala ya wewe kunipa mimi?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom