kwanini epl haina adabu hivi?
wachukue yale magol ya juzi ma4 wayahamishie huku.
kwanini epl haina adabu hivi?
Ssssshhhhhhh!!!!
Mgonjwa yuko ICU wanandugu wameshika tama hawajui nini litatokea...
Aaaaaaaah we subiri game liishe bana
Hahahaa na umolog out noma sana
Hahahaa na umolog out noma sana
Leo Newcastle lazima afe mzima mzima.....
Kwani Ngap Ngap Jamani?
Mkuu mie sijawahi log out nina muda sana toka nimelog out....
Kiukweli Chelsea yaumiza sana
Sasa najua kitachotokea maana Porto watatufunga na Southampton watatupiga na Morinho atafukuzwa. Yule Klopp anaweza kuja kwetu....
Teheeee teheee where is Mike Dean leo tunamuhitaji zaidi ya jana
Pole sana my dear
Aiseee mie nimeacha angalia mechi leo mwisho, nitakuwa nafatilia tu kupitia goal.com