barafuyamoto
JF-Expert Member
- Jul 26, 2014
- 32,405
- 29,804
Hata dhidi yetu (Arsenal) hamkustaili kushinda, kwa hii fomu ya sasa mnashuka daraja, khe kheee khweeee!
Afu siku hizi sikuoniiiiii au uko kwenye kampeni ya Magufuli
Poor Pedro!aljifanya kuikacha man u!
Poor Pedro!aljifanya kuikacha man u!
Hapana mkuu huonagi ma like yangu kulee? Kule napita sana sema nina kama wiki tatu sijafanya biashara. Na tangu msimu mpya wa biashara uanze ninapata hasara tuu
Pole sana my dear
kwani kuna nini humu ndani?
Ndugu zetu walicharazwa mbili kavu niliwahurumia sana ila bora wameyarudisha
newcastle wamezingua sana.
Ila bado wapo nafasi ile ile ya 15 hakijaharibika kitu
Dah Nikalale Mapema Tu Leo,hata Kuipigania Chama Changu Ccm Siwezi,bongo Nimechapwa Mbele Napo Nachapwa Dah...Jaman Naombeni Tena Matokeo
newcastle wamezingua sana.
Dah Afadhali, Mungu Hamtupi Mja Wake,yamerudi Kweli?Yan Tangia Demba Cisse atupge Goli La Ndizi Sina Hamu Nao Hawa Watu...