Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Weeeeeeee Tulia hapo hapo tukutunze.....halafu mimi kama katibu wa vigodoro nasema hivi tutavunja nanyi uteja maana nyie mkija kucheza kwetu tunashirikiana nanyi kila kitu na mnapotutunza katoon zenu tunazipokea kwa shangwe ila nyie sasa wote mmejificha mmetuacha tunacheza wenyewe,raha ya kigodoro mwenyeji awepo tucheze wote atunzwe zawadi yake, Dj cute b weka mziki tunaenda kumtunza Ntuzu hahahhhahahaha watu weweeeeeeeeeeeeeeeeee!!!!!!!!!

Hahahaaaaaa Ntuzu mjanja eti pamekucha kila mtu anajua kaenda kazini ndio anajidai kujitokeza na ubabe mwingi hahahaaa hapa tukirudi usiku mwee analog out anakuwa msomaji tuu
 
Last edited by a moderator:
Weeeeeeee Tulia hapo hapo tukutunze.....halafu mimi kama katibu wa vigodoro nasema hivi tutavunja nanyi uteja maana nyie mkija kucheza kwetu tunashirikiana nanyi kila kitu na mnapotutunza katoon zenu tunazipokea kwa shangwe ila nyie sasa wote mmejificha mmetuacha tunacheza wenyewe,raha ya kigodoro mwenyeji awepo tucheze wote atunzwe zawadi yake, Dj cute b weka mziki tunaenda kumtunza Ntuzu hahahhhahahaha watu weweeeeeeeeeeeeeeeeee!!!!!!!!!

Naruhusiwa kusimama na kucheza? Dj cute b weka ile music inaitwa buluzi nicheze na kimwana hapa.. Hichi kigodoro cha leo kinogile
 
Last edited by a moderator:
Naruhusiwa kusimama na kucheza? Dj cute b weka ile music inaitwa buluzi nicheze na kimwana hapa.. Hichi kigodoro cha leo kinogile

Huwezi mchagulia dj wimbo...ngoja nitafute nyimbo halafu jioni usiku ndio kigodoro na ole wako ukimbie
 
Last edited by a moderator:
Leo tunacheza kanga moko moko laki sio pesa jiandae
Thubutuuuuuu cheza hizo ngoma za tandale uone kz.

Hahahaaaaaa Ntuzu mjanja eti pamekucha kila mtu anajua kaenda kazini ndio anajidai kujitokeza na ubabe mwingi hahahaaa hapa tukirudi usiku mwee analog out anakuwa msomaji tuu

Yani leo panachimbika hapa na hizo MB 8 zenu.
 
Last edited by a moderator:
Costa angetolewa msingefunga...
Kwanza wote mngekuwa pungufu.
First half mlikuwa wote mngeonyesha ubabe wenu tuone sasa.
Second half kila red card moja na goal moja. Mnecheza na watu 9 nyie 11 na refa wenu 12 bado unaita ni ushindi?
Wenger alikuwa mteja wenu enzi mnaitwa Chelsea ila now ni chelshit kwa wenger hamsogez labla mbebwe.
Umesahau fainal ya kombe la sahani? Duuu wenger mbayaaaaaa

Cute Wenger hawez kwa mou usimtete kabisa angalia Sanchez na ozil wanavyopotea kwa Chelsea ila kwa timu zingine wanashine hasa usiongee kishabiki
 
Huwezi mchagulia dj wimbo...ngoja nitafute nyimbo halafu jioni usiku ndio kigodoro na ole wako ukimbie

Hiyo Kali tena.... Sasa ukiweka nyimbo za uchagani nani atacheza? Weka buluzi Bwana uone kimwana inavyopata burudani.

just relax


We naijua Ntuzu vzr? Badala mfikirie namna ya kumsaidia Rooney kufunga magoli anacheza na stress kila game mnakuja kuleta kigodoro huku? Mmevurugwa?
 
Last edited by a moderator:
Hiyo Kali tena.... Sasa ukiweka nyimbo za uchagani nani atacheza? Weka buluzi Bwana uone kimwana inavyopata burudani.




We naijua Ntuzu vzr? Badala mfikirie namna ya kumsaidia Rooney kufunga magoli anacheza na stress kila game mnakuja kuleta kigodoro huku? Mmevurugwa?
bora rooney. huyo costa majanga. tatizo anataka asikabwe. rooney ana hat-trick msimu huu costa je?
 
Last edited by a moderator:
Cute Wenger hawez kwa mou usimtete kabisa angalia Sanchez na ozil wanavyopotea kwa Chelsea ila kwa timu zingine wanashine hasa usiongee kishabiki


Huyu cute b sijui kala maharagwe ya wapi? Wenger tangu lini akawa Zaidi ya Mou?

Mou ana makombe ya uefa mikononi mwake mawili Wenger hana ata moja. Mou ni Zaidi LvG ingawa Lvg kamfudisha Mou.
 
Last edited by a moderator:
Fact?! He heheeeee!! Unajitoa ufahamu mapema hivi?!

EPL atakuwa umeanza karibuni mtafutie clip ya van nestroi vs arsenal 2003-2004 akapewa tuta akachemka, Ryan babel wa rivapul alipigwa ban kwa katuni ya web
 
Hiyo Kali tena.... Sasa ukiweka nyimbo za uchagani nani atacheza? Weka buluzi Bwana uone kimwana inavyopata burudani.




We naijua Ntuzu vzr? Badala mfikirie namna ya kumsaidia Rooney kufunga magoli anacheza na stress kila game mnakuja kuleta kigodoro huku? Mmevurugwa?

Weweeeeeee Ntuzu acha kumtishia Th Name hahahaaa hapa za uso tuu
 
Last edited by a moderator:
Huyu cute b sijui kala maharagwe ya 1442902366544.jpg 1442902366544.jpg wapi? Wenger tangu lini akawa Zaidi ya Mou?

Mou ana makombe ya uefa mikononi mwake mawili Wenger hana ata moja. Mou ni Zaidi LvG ingawa Lvg kamfudisha Mou.
1442902366544.jpg
Maharwage ya mbeya hahahaaaa.. ndio maana nimesema ni enzi hizo club inaitwa chelsea ila sasa hivi hamna kituuuu
 
Last edited by a moderator:
EPL atakuwa umeanza karibuni mtafutie clip ya van nestroi vs arsenal 2003-2004 akapewa tuta akachemka, Ryan babel wa rivapul alipigwa ban kwa katuni ya web

Hahahaaa nimeanza muda ila naangaliaga mpira facebuku. Kumbe n hadi utafutee???
Cc everlenk.
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom