Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Mimi ni mpenzi wa kandanda. Msimu huu naipenda(nashabikia) Crytal Palace na Leicester.

Pia napenda ze komedi za domokaya( mpayukaji)

Moja game nazopenda kuangalia ni Leicester na c. Palace. Hawa jamaa wanacheza kwa kujituma sana. Ile game spirit wanayo kwa kweli.
 
Baada ya kuumia kwa Willian na Pedro.

Iwe hivi:

A. Begovic - keeper

C. Azpilicueta - RB

G. Cahill - CB

J. Terry - CB

B. Rahman - LB

N. Matic - CM

C. Fabregas - CM/AM

E. Hazard - LW

E. Oscar - AM

Ramires - RM

D. Costa - FW/Striker.

Sub: Ivanovic na Zouma; R. Loftus Cheek na Kennedy; L. Remy na R. Falcao.

#CFC #KTBFFH


Golini ni Begovic.

Beki kulia Ivanovich kushoto ni Azpilicuta.
Beki za kati ni Cahill na Zouma.

Mid ni Matic na Faby.

Winga ni Pedro na Hazard.

Oscar anakaa nyuma ya striker.

Striker ni Costa
 
The bluuuuuuzzzzz
 

Attachments

  • 1442662501762.jpg
    1442662501762.jpg
    38.3 KB · Views: 146
Ivanovic again..
Kalou katika ubora wake.

Kwa wachazaji watakaoanza mechi hii kwa Chelsea na Arsenal ni tegemeo kuwa itakuwa mechi nzuri tu kama watacheza kwa kujituma na bila woga. Tunataka kuona timu zinafanya mashambulizi ya nguvu na sio kuvizia vizia tu na kuweka ukuta nyuma.

Kila la heri kwa ze bluuz na kwa ze redz.

Mwamuzi ahakikishe wanabaki wachezaji 22 uwanjani muda wote wa mchezo, asiharibu ze utamu.

Let the match begin.
 
Mbona hamreport????? Au reporter wa kujitegemea nije kama kawaida
 
Mbona hamreport????? Au reporter wa kujitegemea nije kama kawaida
Watajitokeza baada ya refa kuwarahisishia kipindi cha pili. Costa ambaye alistahili kupewa nyekundu kwa makosa aliyofanya ya dakika ya 43 na dakika ya 2 bado yupo uwanjani. Na Mchonga meno ndio amepumzishwa. Mwamuzi ameshaiharibu hii mechi ya leo. Kwa ze bluuz wanaweza kuanza sherehe.
 
Watajitokeza baada ya refa kuwarahisishia kipindi cha pili. Costa ambaye alistahili kupewa nyekundu kwa makosa aliyofanya ya dakika ya 43 na dakika ya 2 bado yupo uwanjani. Na Mchonga meno ndio amepumzishwa. Mwamuzi ameshaiharibu hii mechi ya leo. Kwa ze bluuz wanaweza kuanza sherehe.

Hata wakishinda mimi nitawachezea kigodoro cha red card, Refa kaharibu mechi hii acha tu......Arsenal Wenger💪💪💪💪 komaa baba hata ukitoa suluhu wewe ni bingwa tayari.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom