Umetinga Yokohama ya kichina? Haya bana!Nonda mi nimetinga Yokohama tangu Jana! Jana nilitinga Yokohama blue colour Wa lelo Niko Na white! Nipe no yako basi mkulu nikulishiage myala!
Poa tu. Vipi umeshapima afya yako na mapigo ya moyo?How are you Nonda?
Majirani hawapendi kweri. In Mou they trust.Nachukua fursa hii kuwatakia kila la kheri majirani.
Unamaanisha Kalou na Mentor?hawa jamaa hawana uhakika na mechi ya leo maana wote wapo uvunguni saiz.
FT : Man City 2 - 0 Chelsea
sio 4 kweli
A a a a a a, kufungwa 4 chelsea ni ngumu, siunajua game kama izi chelsea wanachezaga 8-2-0
nataka apigwe ili mourinho awe mpole
Kufa watakufa tu no way out, sema matairi yao ya yokohama itabidi yawe imara sana leo wasije wakazalilishwa
hamna namna. wapigwe tu. matairi yatachomwa moto
A a a a a a na leo atamlaumu nani sijui.??
yule visingizio vingi sana
Yeye akifungwa lawama ni kwa marefa, watoto waokota mipira, mara madaktari, aishiwi maneno
Umetinga Yokohama ya kichina? Haya bana!
Leo unashinda kwa mabao nyembamba au mnenee?
Yule mamito anawapa mori wachezaji ndio Mou amempiga ban kwa wivu wake! Na mchile ana usongo na Mou.
Hii mziki ya leo ni kibinda-nkoe!!
Poa tu. Vipi umeshapima afya yako na mapigo ya moyo?