Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Kwendraaaaaaa weweeeeeeeee. Si ulete Ata hayo matokeo yako unayojua wewe? Unachoshindwa kitu gani?

Buahahahahahahaaaaaaaaaa, nitakuleteaje matokeo mtu ambae ujui ata matokeo ya timu yako, Katika lig hipi iyo chelsea alishinda 2 - 0 na spurs pale darajani msimu uliopita, a a a a a a a a
 
Buahahahahahahaaaaaaaaaa, nitakuleteaje matokeo mtu ambae ujui ata matokeo ya timu yako, Katika lig hipi iyo chelsea alishinda 2 - 0 na spurs pale darajani msimu uliopita, a a a a a a a a

Yalete yalete.......
 
evacarneiro_3402367b.jpg

nini tenaa hapa
 
binafsi ni shabiki wa kile kidada..moo hakuwa right kuwabwatukia publicaly lakini kosa alilofanya yule doctor wenzake walikuwa kimya yeye alikiuka maadili ya kaz kwa kupost fb kuwashukuru fans kwa support yao kwake kuhusiana na lile tukio
 
binafsi ni shabiki wa kile kidada..moo hakuwa right kuwabwatukia publicaly lakini kosa alilofanya yule doctor wenzake walikuwa kimya yeye alikiuka maadili ya kaz kwa kupost fb kuwashukuru fans kwa support yao kwake kuhusiana na lile tukio

Sisi wengine tunaangalia game za Chelsea sababu ya huyo mrembo
Mentor
 
Last edited by a moderator:
Sisi wengine tunaangalia game za Chelsea sababu ya huyo mrembo
Mentor

Kwa kweli hata mimi nimesikitika kwa hilo. Naamini zilikuwa hasira tu na mechi ya Jumapili tutamuona Eva Caneiro kwenye benchi la matibabu akifanya mambo yake...!
 

Kwa kweli hata mimi nimesikitika kwa hilo. Naamini zilikuwa hasira tu na mechi ya Jumapili tutamuona Eva Caneiro kwenye benchi la matibabu akifanya mambo yake...!
Mentor usinichekeshe utamuona wapi wakati keshaaga kabisa, japo si fan wa Chelsea but nimesikitika sana.....

kiinglish kigumu mweee!!! Nielewesheni mwenzenu wenyeji Wa Nyumba hii ,huyu Jose alifanyaje? Nanukuu maneno ya dokta Eva " I entered my office only to find Jose Mournhio Shagging my Pet kestrel" ndo nini hapa?
 

Attachments

  • 1439438204355.jpg
    1439438204355.jpg
    28.5 KB · Views: 193
Last edited by a moderator:
Bora aondoke tu akawatibu kwenye mazoezi, kwenye mechi alikua anawapa wachezaji mfadhaiko.
 
Mentor usinichekeshe utamuona wapi wakati keshaaga kabisa, japo si fan wa Chelsea but nimesikitika sana.....

kiinglish kigumu mweee!!! Nielewesheni mwenzenu wenyeji Wa Nyumba hii ,huyu Jose alifanyaje? Nanukuu maneno ya dokta Eva" " I entered my office only to find Jose Mournhio Shagging my Pet kestrel" ndo nini hapa?
Maana yake ni" Eva alipoingia ofisini mwake alimkuta Jose akimfundisha Kestrel kupiga penalty."
 
FACT: Messi has won more trophy than Chelsea.
Chelsea: 26 trophies in 110 years
Lionel Messi: 27 trophies in 10 years.
Small club, loose mouth fans, Sugar Daddy owner and arrogant coach.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom