Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

mnaoona live muwe mnatupatupa hayo maupdate bac huku tuliko mamvua yamekata kabisa mtandao wa Dstv
 
Mvua zimeanza...🙁 Drogba anatufunga goli la pili.
 
angalieni movement ya mabeki wetu kwenye hio move.beki wawili wanafata mtu mmoja huku clichy anam,uachie drogba anatanua.its going to be a long day.
 
naona vidume wa darajani wana mbili, na mfungaji ni yuleyule
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom