Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Mkuu hatuna shaka kabisa ligi ndio kwanza imeanza Leo na hatujapoteza!


Wacha porojo wewe mmepoteza point mbili. Phew! Lini umeanza kuangalia EPL kwenye luninga, wenzio bundi keshalia kwenye cowshed khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee


Then mmeanza kugombana wenyewe .... .... . ..

article-3190659-2B36BB2100000578-372_968x385.jpg


Khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
 
Bosi wap Roma alimkalipia moureen kuwa hapendezwi kabisa na mfumo wake wa basi he instead he want to see real football naona kabadilika now days
 
HBD Deo
>>Real Madrid have Bale, Benzem,C.Ronaldo
(BBC)
>>Barca have Messi, Suarez, Neymar (MSN)
>>Man Utd have Bastian, Memphis, Wayne(BMW)
>>Arsenal have Carzola, Ozil, Oxlade,Laurent K.
(COOL)
>>Chelsea have Falcao, Oscar, Obi, Loic (FOOL)
 
Mwanzo mzuri kabisa kwa bingwa mtetezi!

HBD Deo
>>Real Madrid have Bale, Benzem,C.Ronaldo
(BBC)
>>Barca have Messi, Suarez, Neymar (MSN)
>>Man Utd have Bastian, Memphis, Wayne(BMW)
>>Arsenal have Carzola, Ozil, Oxlade,Laurent K.
(COOL)
>>Chelsea have Falcao, Oscar, Obi, Loic (FOOL)
👆😂😂
 
HBD Deo
>>Real Madrid have Bale, Benzem,C.Ronaldo
(BBC)
>>Barca have Messi, Suarez, Neymar (MSN)
>>Man Utd have Bastian, Memphis, Wayne(BMW)
>>Arsenal have Carzola, Ozil, Oxlade,Laurent K.
(COOL)
>>Chelsea have Falcao, Oscar, Obi, Loic (FOOL)

hahaaaaa
 
HBD Deo
>>Real Madrid have Bale, Benzem,C.Ronaldo
(BBC)
>>Barca have Messi, Suarez, Neymar (MSN)
>>Man Utd have Bastian, Memphis, Wayne(BMW)
>>Arsenal have Carzola, Ozil, Oxlade,Laurent K.
(COOL)
>>Chelsea have Falcao, Oscar, Obi, Loic (FOOL)

Liverpool have Lalana, Marcovic, Firmino, Allen and Origi (LMFAO).....hahahaaa
 
Bora kupewa Goli na kutoka na point tatu kuliko kupewa Goli na ukapata point moja.......hahahahaha wapi ENZO Mungu mzuri huyu jamani acha tu mmetuponda weeeee tumepewa goli haya nanyi mmepewa wapi sasa point 3? Hahahahhahhahhahahhahahahhah!!!!!!!! Watu weweweeeeeeeeeeeeeeeee!!!!!

everlenk na mwenzio cute b hatujafungwa tu vigodoro hivii, 2ngefungwa ingekuaje!' .......... tupongezeni hata kw hako kapoint kamoja mana kucheza pungufu cyo mchezo ingekua vibabu vyenu vinacheza pungufu mngekula nane.

Oyoooooooooooo hahahahaaaa ENZO kajikunyata ameshasinzia na maumivu rohon tehe teheee nimefurahi balaaaaaa

kwani tumefungwa ngapi jamani?! mbona vigodoro humu!' mtaendelea kufurahia hivyo hivyo droo!' hata tuwe pungufu wachezaji watano!'
 
Last edited by a moderator:
Mkuu hatuna shaka kabisa ligi ndio kwanza imeanza Leo na hatujapoteza!
Mapointi mawili yameyeyuka ,wewe unasema hujapoteza! Ulitaka uchapwe ndio ungekiri kupoteza? Hakuna kudondosha points au kudondosha inakubalika?
Yule kipa wenu alikuwa anafanya mazoezi ya Bruce Lee?
Ile kadi aliyopewa ni uonevu au ilimstahiki?
 
Mapointi mawili yameyeyuka ,wewe unasema hujapoteza! Ulitaka uchapwe ndio ungekiri kupoteza? Hakuna kudondosha points au kudondosha inakubalika?
Yule kipa wenu alikuwa anafanya mazoezi ya Bruce Lee?
Ile kadi aliyopewa ni uonevu au ilimstahiki?

Matumani yangu kua tunawabore sn na next game mtakuja hapa kutoa heshima kwa bingwa mtetezi!
 
Next weekend USO kwa USO na Man City......
Mchile ana usongo na Mou.
Na yule mlinda mlango anaejifunza karate ndio atakuwa anatumikia kifungo.
Nitaifuatilia mechi hii kwa karibu sana au kwenu hii mechi ni pre-season prep.?
 
Mwanzo mzuri kabisa kwa bingwa mtetezi!
Kweli bro, huu ni mwanzo mzuri.
Na mechi inayofuata na M. City ndio upili mzuri zaidi.

Ndio Mou anajaribu kuendana na yokohama? Mou akifundishwa kucheza mpira wiki ijayo atarudia mfumo wa ku-pack bus.
 
Mchile ana usongo na Mou.
Na yule mlinda mlango anaejifunza karate ndio atakuwa anatumikia kifungo.
Nitaifuatilia mechi hii kwa karibu sana au kwenu hii mechi ni pre-season prep.?


Hii wiki nzima nitakua hapa ktk hili Jukwaa letu nikileta uchambuzi yakinifu mpk siku ya game hiyo. Naomba uwepo wako pls.


Kweli bro, huu ni mwanzo mzuri.
Na mechi inayofuata na M. City ndio upili mzuri zaidi.

Ndio Mou anajaribu kuendana na yokohama? Mou akifundishwa kucheza mpira wiki ijayo atarudia mfumo wa ku-pack bus.


Hakuna kupaki bus Mkuu Nonda yani nakuomba usipotee tu ktk hili Jukwaa!

Mimi Niko hapa sasa maana ligi ndio imeanza!
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom