Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

cute b hadi wewe!???

Yaani jana nilikuambia jitokeze uweke mwenyewe picha ukagoma umeona sasa!!!........hakuna mtu anayepondea Man U kama wewe!!!! Vumilia tu sindano ikuingie japo yauma yakheeee!!!!
 
Last edited by a moderator:
Teh teh teh teh

Mbavu zangu mie! Hiyo siku ile timu ya LvG ikifungwa sijui mtajificha wapi? Nitawatafuta kila kona na ikiwezekana nitaoga nje siku hiyo.

Hahahahahaaahahahahaahahhahahahahahaahahha lazma uoge nje maana ni ajabu MAN U KUFUNGWA HAHAHAH
 
Ni club inayofanya vizuri na ina makombe mengi hahahahaaa...
Na tuna hela ya kumnunua hadi mesi.
Club tajiri duniani...
Muulize pacha wangu everlenk kama huamini

yatunze haya maneno yako tukutane baada ya siku kadhaa
 
Last edited by a moderator:
Teh teh teh teh

Mbavu zangu mie! Hiyo siku ile timu ya LvG ikifungwa sijui mtajificha wapi? Nitawatafuta kila kona na ikiwezekana nitaoga nje siku hiyo.

Sisi hatukimbiagi ,tukose ushindi wa uwanjani hata wa mdomoni hapana Aiseee!!!!
 
Ni club inayofanya vizuri na ina makombe mengi hahahahaaa...
Na tuna hela ya kumnunua hadi mesi.
Club tajiri duniani...
Muulize pacha wangu everlenk kama huamini

Kunywa pepsiii ingineeee........mumy mimi jana hata sikutaka kucheza kigodoro chochote ila niliwapa sharti moja tu hasa Mcharo wangu anayependa kuweka picha kule kwetu kwamba ajihukumu mwenyewe aziweke mwenyewe kabla sijaweka akagoma hamadi wewe huyo.....loh!!!! Waiter Mpe na ingine na kuku msimaa mpatie hii pacha yangu......
 
Last edited by a moderator:
Kunywa pepsiii ingineeee........mumy mimi jana hata sikutaka kucheza kigodoro chochote ila niliwapa sharti moja tu hasa Mcharo wangu anayependa kuweka picha kule kwetu kwamba ajihukumu mwenyewe aziweke mwenyewe kabla sijaweka akagoma hamadi wewe huyo.....loh!!!! Waiter Mpe na ingine na kuku msimaa mpatie hii pacha yangu......

Akyananiiiiiii mamii unajua kunipa raha wew....
Weita huyo mkuku mpake na pili pilii na hako kasoda kaweke kwenye friji kapoe..
Niliona jana unambembeleza Mentor aje akagoma hahahahahahahhahhah
 
Last edited by a moderator:
Wamekimbiaaa
 

Attachments

  • 1438590340678.jpg
    1438590340678.jpg
    49.8 KB · Views: 79

Similar Discussions

Back
Top Bottom