Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Pole Mwanakwetu. Tunawapa tu makombe yenu ya nje ya uwanja. Nadhani mlizungumziwa zaidickwa ajili yabtia maji tia maji msimu wenu ulivyokuwa. Presha ilikuwa full kwa wapenzi wetu. Lkn ndo mpira. Mwakani jitahidi muwe wa 2. Inapendeza zaidicMan U-wakiwa wa 2 kuliko Man City kuwa kwenye hiyo position.

UOTE=everlenk;12842131]Mwanakwetu hata Haya ni mafanikio......lol.....kupendwa raha pamoja na kuwa vibaya kumbe bado inawapenzi wengi ikiwa vizuri je???........Kombe ni lenu jamani tushakubali ila nikiangalia mwanzo wa msimu ilivyoanza na leo imemaliza 4th siamini........ Wengi walijua tutamaliza 14th huko then mwakani inashuka daraja kabisa.......... Ahhh!!! Mwanakwetu mutuwache tupumzike kha!!!![/QUOTE]
 
Pole Mwanakwetu. Tunawapa tu makombe yenu ya nje ya uwanja. Nadhani mlizungumziwa zaidickwa ajili yabtia maji tia maji msimu wenu ulivyokuwa. Presha ilikuwa full kwa wapenzi wetu. Lkn ndo mpira. Mwakani jitahidi muwe wa 2. Inapendeza zaidicMan U-wakiwa wa 2 kuliko Man City kuwa kwenye hiyo position.

UOTE=everlenk;12842131]Mwanakwetu hata Haya ni mafanikio......lol.....kupendwa raha pamoja na kuwa vibaya kumbe bado inawapenzi wengi ikiwa vizuri je???........Kombe ni lenu jamani tushakubali ila nikiangalia mwanzo wa msimu ilivyoanza na leo imemaliza 4th siamini........ Wengi walijua tutamaliza 14th huko then mwakani inashuka daraja kabisa.......... Ahhh!!! Mwanakwetu mutuwache tupumzike kha!!!!
[/QUOTE]
Eden Hazard azidi kujizorea tuzo. Wakati huohuo Oscar naye achukua tuzo ya goli bora la mwaka alilofunga dhidi ya QPR. Zolla naye alikuwepo kupokea zawadi ya manguli Wa Chelsea.
Pia baba Mourinho alipata nafasi ktk hiyo dhifa kusema machache!
#KTBFFH
 

Attachments

  • 1432877502457.jpg
    1432877502457.jpg
    22.6 KB · Views: 79
  • 1432877521014.jpg
    1432877521014.jpg
    15.6 KB · Views: 78
  • 1432877544814.jpg
    1432877544814.jpg
    23.6 KB · Views: 79
  • 1432877559146.jpg
    1432877559146.jpg
    20.3 KB · Views: 76
AMBAO NINGEPENDA KUONA WAKIHAMIA CHELSEA:

292805E100000578-3101335-image-a-54_1432841238469.jpg


Jack Grealish (17), Aston Villa


285A6FCB00000578-3068616-image-a-22_1430863978081.jpg


Raphael Varane (23), Real Madrid




Me nataka aje namba 10 mmoja matata kabisa maana oscar simfagilii kivile hana consistency kabisa yeye uwezo wake ni kushine nusu au robo msimu basi. Kama tukipata namba 10 aliyeconsistent kama hazard basi tutakuwa tumeula oscar nyanya sana thou akiwa at his best ni mzuri
 
Varane aje jamani.. JT akitundika daluga dogo achukue mikoba na Cahil

Tunahitaji wacheza wanne wazuri ili kuchukua UEFA na kutetea EPL!

(1) Tunahitaji Centre Back mmoja mzuri ili kufanya wachezaji wasichoke na kutumika sn kucheza kila mashindano maana Terry umri umemtupa mkono kidogo hivyo kwake yeye haitakua rahisi kucheza michezo yote!

(2) Tunahitaji DM mzuri ili Matic asitumike sn maana Obi huu msimu majeruhi yalimuandama sn kiasi ilibidi Matic afanye kz sn ktk mashindano yote. Vile vile ili tuwe na striking force ya nguvu watu km Fabregas, Oscar, Ramires wanatakiwa wacheze wakiwa huru bila kua na majukumu ya ukabaji sn.

(3) Km Cuadrado asipo badilika basi Tunahitaji MTU mwingine ata ktk dirisha dogo pale January ili Hazard, Willian wasitumike sn!

(4) Tunahitaji Striker mmoja matata sn ingawa nahisi huu msimu ujao utakua ni mzuri sn kwa Remy na pia Costa. Lkn bado Tunahitaji striker matata sn ktk hiyo nafasi ili kutetea ubingwa!
 
Me nataka aje namba 10 mmoja matata kabisa maana oscar simfagilii kivile hana consistency kabisa yeye uwezo wake ni kushine nusu au robo msimu basi. Kama tukipata namba 10 aliyeconsistent kama hazard basi tutakuwa tumeula oscar nyanya sana thou akiwa at his best ni mzuri

Mimi naona tukicheza 4-2-3-1 with Matic & Fabregas; Hazard-Oscar-Willian (or someone better asajiliwe this season) tunacheza poa sana...

Oscar is good ni vile tu Mou hamuamini sana!
 
Mimi naona tukicheza 4-2-3-1 with Matic & Fabregas; Hazard-Oscar-Willian (or someone better asajiliwe this season) tunacheza poa sana...

Oscar is good ni vile tu Mou hamuamini sana!

Oscar ni mzuri at his best tatizo kumaintain form hawezi anyway ngoja tumpe muda
 
Tunahitaji wacheza wanne wazuri ili kuchukua UEFA na kutetea EPL!

Ili kutetea EPL hata kwa kikosi kilichopo tunaitetea!

(1) Tunahitaji Centre Back mmoja mzuri ili kufanya wachezaji wasichoke na kutumika sn kucheza kila mashindano maana Terry umri umemtupa mkono kidogo hivyo kwake yeye haitakua rahisi kucheza michezo yote!

Kwenye centre back amlete Varane Kurt Zouma atakuwa Back up ya either Cahill ama Varane wanapochoka ama tunapocheza games ngumu au kwenye ligi za FA ama carling! (anaweza akawekwa benchi pia dogo mmoja from the youth team)

(2) Tunahitaji DM mzuri ili Matic asitumike sn maana Obi huu msimu majeruhi yalimuandama sn kiasi ilibidi Matic afanye kz sn ktk mashindano yote. Vile vile ili tuwe na striking force ya nguvu watu km Fabregas, Oscar, Ramires wanatakiwa wacheze wakiwa huru bila kua na majukumu ya ukabaji sn.

Kila mchezaji anatamani kucheza mechi zote za msimu! So Matic aendelee kutumika tu. Nadhani tumuuze Mikel tubaki na Loftus Cheek na Nathan Ake kama back up ya Matic.

Kumbuka pia Ramires anaweza kuicheza hiyo nafasi na Zouma anaweza ku-act defensive midfielder inapobidi. Sidhani sokoni sasa hivi wapo wengi wanaomzidi Matic uwezo.


(3) Km Cuadrado asipo badilika basi Tunahitaji MTU mwingine ata ktk dirisha dogo pale January ili Hazard, Willian wasitumike sn!

Cuadrado kwangu bado hajafikia viwango vya kule tunapotaka kwenda. Naamini wakati Mou anakubali anunuliwe kuna kitu aliona kwake. Ila kwa Willian/Cuadrado msimu ujao, UCL hatutaipata. Unless lengo la kocha ni kuchukua UCL 2017/2018 basi ni lazima pale kulia asajili mtu wa maana.

Lakini pia kama nilivyosema hapo juu, Jack Grealish kwangu namwona mchezaji mzuri zaidi kwenye wings kuliko hao wawili combined (Willian & Cuadrado). Nasikitika ninapoona tunakuwa linked kumnunua Benteke badala ya huyo dogo ambaye pia anaweza kucheza as an understudy kwa Hazard.

Mbadala wa Hazard kule kushoto kama akiumia ndo nautafakari bado, tunahitaji mtu established pia ambaye ataweza kucheza namba 10, akiwa na Hazard au niaba yake.


(4) Tunahitaji Striker mmoja matata sn ingawa nahisi huu msimu ujao utakua ni mzuri sn kwa Remy na pia Costa. Lkn bado Tunahitaji striker matata sn ktk hiyo nafasi ili kutetea ubingwa!

Kama Costa akifanyiwa hiyo surgery muda huu wa mapumziko, Remy akaendelea kufanya mazoezi na wenzake...hao wawili wanatosha kuwa main strikers kwenye kikosi. sidhani kama tutahitaji another established striker kwa sasa.

Sidhani kama kuna established striker atakubali kuja kwetu kukaa bench asubiri Costa aumie. Labda aongezeke Antoine Griezman ambapo nahisi akija huyo atacheza zaidi namba 10 kuliko 9. Ila atasaidia kuwa back up (a very good one) ya Oscar na huenda akamnyang'anya namba!
 
nakubaliana na points zenu hapo juu. kwa mawazo yangu nadhani tunahitaji 1 good central defender ili kupunguza pressure kwa JT. Tunahitaji attacking midfield ambaye ni mzuri kwenye wings ili apunguze pressure kwa Hazard ikibidi. Pia another good striker kama Griezemann ili aongeze ushindani wa namba. ushindani ni muhimu na unaongeza ufanisi. kuna yule dogo mbrazil alinunuliwa juzi juzi hapa sijui anacheza positions zipi na ni mzuri kiasi gani. Ila Cuadrado kama akianza msimu kama alivyoumaliza huu ulioisha anaweza kuja kutusaidia. Ingawa pia ningetamani Salah arudi manake ile kasi yake akipewa majukumu na akatuliza akili na kujipunguzia pressure atatufaa sana.
 
nakubaliana na points zenu hapo juu. kwa mawazo yangu nadhani tunahitaji 1 good central defender ili kupunguza pressure kwa JT. Tunahitaji attacking midfield ambaye ni mzuri kwenye wings ili apunguze pressure kwa Hazard ikibidi. Pia another good striker kama Griezemann ili aongeze ushindani wa namba. ushindani ni muhimu na unaongeza ufanisi. kuna yule dogo mbrazil alinunuliwa juzi juzi hapa sijui anacheza positions zipi na ni mzuri kiasi gani. Ila Cuadrado kama akianza msimu kama alivyoumaliza huu ulioisha anaweza kuja kutusaidia. Ingawa pia ningetamani Salah arudi manake ile kasi yake akipewa majukumu na akatuliza akili na kujipunguzia pressure atatufaa sana.

Links nyingi zinaonesha Griezmann atakuja kwetu msimu ujao. Ninahisi atacheza namba kumi zaidi ya striker.

Yule dogo, Nathan, alikuja kama striker naye nahisi atacheza kama mbadala mechi za Carling au sub kwa Remy na Costa.

Pale kulia mi sijapakubali bado - Willian/Cuadrado - hawana nguvu au akili kama Hazard kushoto, bado natafakari. Ila itakuwa poa wakigombania namba Oscar/Willian/Cuadrado since Griezmann akicheza kama alivyocheza msimu huu, OScar anakosa namba 10.


 
Dominic Solanke 2014-15 season.

At youth level, Solanke continued to score at a prolific rate scoring 15 goals in 16 games before Christmas and finishing as top scorer in the
group stages of the UEFA Youth League after a hat trick in the final
group stage match against Sporting CP . On 10 April 2015,
Solanke scored a brace in the semifinal of the 2014–15 UEFA Youth League against A.S. Roma to send Chelsea into the final. Solanke
scored again against Shakhtar Donetsk in the UEFA Youth league final ending the tournament with 12 goals in 9 games as Chelsea won the title. On 20 April, Solanke scored a late goal to give his side a 3-1
win in the first leg of the FA Youth Cup final against Manchester City.
With this goal, Solanke reached the 35-goal mark this season.
On 7 May, Solanke reached 41 goals for the season after scoring a hat-trick in a 4-3 victory over Liverpool U21.

Umefika wakati huyu kijana aanze kucheza epl, iwe Chelsea au aende kwa mkopo timu nyingine..
 
Mentor nadhani sio rahisi kupata mchezaji replica wa Hazard akawa upande wa kulia. Pili Hazard wawili wanaweza wasiwe productive sana kwenye timu kwa wakati mmoja. Lazima wawepo back ups behind him. nadhani ndio sababu ya Willian/Cuadrado. Pia nahisi ujuo wa Griezman utakuwa zaidi kumpa changamoto Diego kwenye striking kuliko Oscar kwenye namba 10. Hii itamfanya Diego kujituma zaidi kuliko kuwa na uhakika na position uhakika amba utampunguzia ile predatory nature na precision ya kufunga! na pia itamshape disciplinewise manake akipewa kadi atakuwa benchi na huwezi jua atakayecheza anaweza kuwa bora zaidi yako akachukua namba forever!!
 
Last edited by a moderator:
Dominic Solanke 2014-15 season.

At youth level, Solanke continued to score at a prolific rate scoring 15 goals in 16 games before Christmas and finishing as top scorer in the
group stages of the UEFA Youth League after a hat trick in the final
group stage match against Sporting CP . On 10 April 2015,
Solanke scored a brace in the semifinal of the 2014–15 UEFA Youth League against A.S. Roma to send Chelsea into the final. Solanke
scored again against Shakhtar Donetsk in the UEFA Youth league final ending the tournament with 12 goals in 9 games as Chelsea won the title. On 20 April, Solanke scored a late goal to give his side a 3-1
win in the first leg of the FA Youth Cup final against Manchester City.
With this goal, Solanke reached the 35-goal mark this season.
On 7 May, Solanke reached 41 goals for the season after scoring a hat-trick in a 4-3 victory over Liverpool U21.

Umefika wakati huyu kijana aanze kucheza epl, iwe Chelsea au aende kwa mkopo timu nyingine..

SCOUTNATION wameandika;

STRENGTHS - Finishing - Determination - Acceleration

WEAKNESS - Creativity.
 
Mentor nadhani sio rahisi kupata mchezaji replica wa Hazard akawa upande wa kulia. Pili Hazard wawili wanaweza wasiwe productive sana kwenye timu kwa wakati mmoja. Lazima wawepo back ups behind him. nadhani ndio sababu ya Willian/Cuadrado. Pia nahisi ujuo wa Griezman utakuwa zaidi kumpa changamoto Diego kwenye striking kuliko Oscar kwenye namba 10. Hii itamfanya Diego kujituma zaidi kuliko kuwa na uhakika na position uhakika amba utampunguzia ile predatory nature na precision ya kufunga! na pia itamshape disciplinewise manake akipewa kadi atakuwa benchi na huwezi jua atakayecheza anaweza kuwa bora zaidi yako akachukua namba forever!!

Costa ni predator in nature! Hahitaji tishio la mtu kufanya awe sharp!

Ila amin amin nakuambia, akija Griezmann, Oscar atasugua benchi..labda ashindwe ku-cope na EPL!
 
Mentor nadhani sio rahisi kupata mchezaji replica wa Hazard akawa upande wa kulia. Pili Hazard wawili wanaweza wasiwe productive sana kwenye timu kwa wakati mmoja. Lazima wawepo back ups behind him. nadhani ndio sababu ya Willian/Cuadrado. Pia nahisi ujuo wa Griezman utakuwa zaidi kumpa changamoto Diego kwenye striking kuliko Oscar kwenye namba 10. Hii itamfanya Diego kujituma zaidi kuliko kuwa na uhakika na position uhakika amba utampunguzia ile predatory nature na precision ya kufunga! na pia itamshape disciplinewise manake akipewa kadi atakuwa benchi na huwezi jua atakayecheza anaweza kuwa bora zaidi yako akachukua namba forever!!

Wakuu kuna vitu vingi MTU anaweza kuviongelea ktk timu yetu! Kwa mfano msimu uliopita km Matic angepata majeruhi km waliopata Obi na Ramires basi pale kati kungekua na shida sn maana Zouma pamoja na kua hupangwa hiyo nafasi lkn bado hawezi kucheza vzr ndio maana mpira hua butu sn km kukiwa na DM km Zouma hapo kati. Kwahiyo Tunahitaji DM atakae weza kusaidiana vzr na Matic na Obi na sidhani km mourinho ataweza kumuuza Obi kwa Sasa hasa ukizingatia kua huu msimu hakufanya vzr kutokana na majeruhi kwahiyo ukimuweka sokoni bei Yake itakua sio nzuri tutapata hasara. Nafikiri ataendelea kuwepo mpk January km bado atakua kiwango chake sio kizuri basi anaweza kuuzwa.

Na pia Zouma anatakiwa acheze km cb muda wote hasa ukizingatia tunatakiwa kujenga timu ya badae hivyo basi kuwapa nafasi hawa machipukizi ni muhimu sn! Na pia Terry umri umeenda km nilivyosema hapo awali! Tunahitaji kumrudisha dogo Kalas asaidiane na Cahill na Zouma Terry na pia tusajili beki mmoja mzuri kuweka ukuta imara na sub imara!

Philip Luiz huu msimu ujao anapaswa apangwe kila mchezo ili kiwango chake kisishuke na pia iwapo Mourinho atakua akimpanga Luiz beki kushoto basi Azipilicueta apangwe beki kulia ili Ivanovic apata nafasi ya kupumzika na asitumike sn! Ktk hili Mourinho anatakiwa kuwatumia wote hawa wachezaji ili tuweze kufanya vzr ktk mashindano yote!

Niliona game ya WBA mourinho alimpanga Hazard no 10 huu mfumo Mourinho anatakiwa ktk pre season autumie sn ili tuone km utaleta mafanikio! Lkn pia Nina imani kubwa na Oscar na Fabregas ktk hiyo nafasi hasa kutokana na ubora Wa kocha wetu ktk kupanga kikosi kutokana na timu anayokutana nayo.

Mohammed Salah kufanya vzr sn huko Italy kwahiyo km atarudishwa msimu ujao yeye na Cuadrado wanatakiwa wapewe nafasi za kucheza sn hasa km ktk mechi za FA au Capital One ili mpk January wawe wameonesha uwezo Fulani Wa matumani. Vinginevyo km watashindwa basi Hazard na William na ata Ramires watakua machaguo ya Mourinho makubwa.

Nina hisi huu msimu ujao utakua ni mzuri sn kwa Remy hasa baada Drogba kustaafu. Ni muda Sasa kwa Remy kupewa nafasi na yeye kuonyesha uwezo wake!

Costa yuko pouwa hana shida Zaidi ya majeruhi tu ndio yamekua yakimsumbua.

All in all, nakubaliana na hoja zenu zote wakuu!
 
Last edited by a moderator:
Costa ni predator in nature! Hahitaji tishio la mtu kufanya awe sharp!

Ila amin amin nakuambia, akija Griezmann, Oscar atasugua benchi..labda ashindwe ku-cope na EPL!

Kwa upande Wa golini hakuna shida. Namuimba Mungu amjalie hekima Cech asifanye km Lampard alivyofanya ingawa wachezaji hupenda kucheza kila game lkn kustaafu soccar huku ukiwa Ligend ktk timu Fulani ni bora sn! Majuzi nilipomuona Drogba akipewa heshima kubwa vile machozi ya furaha yalinitoka hasa kuona MTU mweusi akiingia ktk kumbukumbu za timu ambazo zitaishi ktk vizazi na vizazi. So itapendeza sn kumuona Cech nae akitundika groves zake kwa heshima kubwa.

Next season tutamuaga Terry na yeye kuingia ktk uligend Wa timu!
 
mimi mwenzenu Willian namuani sana... nadhan hakuna haja ya yy kuachwa benchi na kumtafuta mtu mwingine kwa sasa...

ila ni ukweli tunahitaji CB mwingine ambaye ni kijana bado, na pia #10 mwingine.

Cuadrado huyu mimi huwa simuelewi kabisa.

Solanke ndo wakati wake huu.. aje kwa wakubwa sasa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom